Mambo hayo yapo sisy..cha msingi usiache kuomba upate amani ya moyo..Acha tu sis mamkwe ananifanya naishi kama niko singo vile mshenzi sana mamkwe wangu akufwee tuu na akifa walaa sitaenda kumzika hakii naapa!
Bora hata angekua muhuni mkuu!! Ni story ndefu yanii!!Huyo mamkwe wako ni muhuni mama unaanzaje kumtaftia mwanao wanawake ili hali anajua fika mwanae ameoa? Kuna mengi sana yanaendelea kati yao ila huyo mama ana tabia za kishenzi mno. Pole sana ndio mamkwe wako tayari.
Amen amen sis!! Mungu ni mwema!!Mambo hayo yapo sisy..cha msingi usiache kuomba upate amani ya moyo..
Uhuni ni pamoja na tabia za aina hiyo, huyo ni muhuni ata kama angekuwa ni malaika mbinguni aketie jirani na kiti cha enzi akiimba mapambio alafu ayafanye hayo bado ningemuita muhuni tu.Bora hata angekua muhuni mkuu!! Ni story ndefu yanii!!
Ila thanks God na mwanangu tu wazima wa Afya hili ndo la msingi na maisha lazima yaendelee!!
Uhuni ni pamoja na tabia za aina hiyo, huyo ni muhuni ata kama angekuwa ni malaika mbinguni aketie jirani na kiti cha enzi akiimba mapambio alafu ayafanye hayo bado ningemuita muhuni tu.
Ndio hvyo usisahau kunitag kwenye story maana nakuona kwenye story nyingi.Umeona eeehhh!!
Pamoja Sana mkuu acha tusubirie episode inayofuata tuone !!
Ndio hvyo usisahau kunitag kwenye story maana nakuona kwenye story nyingi.
Ndio hvyo usisahau kunitag kwenye story maana nakuona kwenye story nyingi.
watu mna makubwa lol kumuombea mama wa mwenzio kifo siyo poa akikufa utamiss sijui utapata wapi w kumchukia,raha ya maisha uwe na wa kutifuana nae lolMage alimchelewesha kumpatia damu za next target akakosa namna!
Tena kuku wenyewe walikua matetea jamani dahh!
Kuna mamkwe wengine nuksii sana mkuu mi mwenyewe leo hii mamkwe wangu akifa nitashangiliaaa na kusherehekeaa ni ana mdomo ana gubuuu nongwa sana mfyuuu zake yule mama!
Hujakosea mkuu huo ni mtazamo wako sema nini!! Usilolijua nikama Usiku wa giza mkuu!!watu mna makubwa lol kumuombea mama wa mwenzio kifo siyo poa akikufa utamiss sijui utapata wapi w kumchukia,raha ya maisha uwe na wa kutifuana nae lol
👀👀👀🏃Mage alimchelewesha kumpatia damu za next target akakosa namna!
Tena kuku wenyewe walikua matetea jamani dahh!
Kuna mamkwe wengine nuksii sana mkuu mi mwenyewe leo hii mamkwe wangu akifa nitashangiliaaa na kusherehekeaa ni ana mdomo ana gubuuu nongwa sana mfyuuu zake yule mama!
Kuna Id nikiangalia zimejiunga lini hataa sisumbuki nazo!👀👀👀🏃
👀🤔🧐🤭🤐🙊Kuna Id nikiangalia zimejiunga lini hataa sisumbuki nazo!
Acha tusubirie story tu huku kila mmoja akiendelea na maisha yake Mkuu!
Bantu Lady shougaaangu nakumiss mimii!!
[emoji28][emoji28]Kuna Id nikiangalia zimejiunga lini hataa sisumbuki nazo!
Acha tusubirie story tu huku kila mmoja akiendelea na maisha yake Mkuu![emoji3577][emoji3577][emoji3577]
Bantu Lady shougaaangu nakumiss mimii!!
Acha hzo wee Wala usisema haya waweza kufa wew ukamuacha yule mam wa watu ,na Kama Ni mchawi atakushughulikia vyemaMage alimchelewesha kumpatia damu za next target akakosa namna!
Tena kuku wenyewe walikua matetea jamani dahh!
Kuna mamkwe wengine nuksii sana mkuu mi mwenyewe leo hii mamkwe wangu akifa nitashangiliaaa na kusherehekeaa ni mnafiki nongwa sana mfyuuu zake yule mama!
Seen✓✓Acha hzo wee Wala usisema haya waweza kufa wew ukamuacha yule mam wa watu ,na Kama Ni mchawi atakushughulikia vyema
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app