Ndio naipitia saivi inaonekana nzuri pia!!Kule mtoto anamtesa mama wa kambo🤣🤣🤣🤣
Umeona eeehhh!! Bila shaka atatimiza ahadi ni deni ausio 😁!Hataki fadhila za kufuturisha huyo🤣🤣🤣🤣 nishampa hesabu nasubir nimpe lipa namba
Budget gani hii baby zu budget haizidi hata rungu sprayMaZiwa 800 tende tatu , yai moja na na tunda 500 nahisi kwa siku 2000 tu🤣🤣🤣🤣
Na wewe wanipigilia misumari? 😀😀Umeona eeehhh!! Bila shaka atatimiza ahadi ni deni ausio 😁!
Eendiwoooooooo boss kubwaaa nina huduma zote Zote ya kutolea kawaida na ya lipa namba! ya kawaida unachagua namba 2 TOA PESA ya lipa namba unachagua namba 4 LIPA KWA MPESA!☺️Fadhila zinatakiwa ila kwa Issue ya lipa namba show atasimamia rafiki yangu Antonnia 😁😁😁
Basi mfanyie manuvaaaaaa tajiri yangu😁😁😁Eendiwoooooooo boss kubwaaa nina huduma zote Zote ya kutolea kawaida na ya lipa namba! ya kawaida unachagua namba 2 TOA PESA ya lipa namba unachagua namba 4 LIPA KWA MPESA!☺️
Usijali bosi your wish is my command!!Basi mfanyie manuvaaaaaa tajiri yangu😁😁😁
Unantia uchizi ujue kivuruge wangu😁😁😁😁Usijali bosi your wish is my command!!
🙌🙌🙌🙌🙌🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️!!Unantia uchizi ujue kivuruge wangu😁😁😁😁
Ya moto mnoo.thnx mrembo
Thanx sisy...ya motoooKumekuchaaa hukuu....
Bantu Lady Lovelovie Watching Kalpana leadermoe Santos06 kitalembwa mtzmweusi Lastmost Unforgettable Advicer mmash Mafian cartel Restless Hustler Mbobo Doctor G alubati Tyrone Kaijage huku kwetu iPhone 6 kitruuuu kishawekwa zamaneeee sanaa!
Tayukwa baby zu naona mshatia maguu kitrambo!!
Haha hapa unajua wale wapenzi wa muvi za kinaijeria. Hapa pamekosekena kale kamdundo tu. .Kweli Kabisa mkuu labda anakua katingwa afu story tramu kinoma japo ni ya watu kudedishwa!!
😀🤣🤣🤣🤣 haha dogo ana hatari sana huyu🤣 mama wa kambo anamliliaNilijua anateswa na mama wa kambo kumbe ye ndo anamtesa mama wa kambo😂😂😂😂