Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Niko macho daa tisa na dakika nne usiku naona bila bila๐Ÿ˜€

Nimesikia mwizii mwizii huko nje ndani kuku wanapiga kelele hatari nikaona ngoja nitoke nje na panga langu butu labda kuna mwizi karuka fence. Hakuna mwizi upepo tu akili ikanambia Amiri anataka kunyonya kuku wamgu damu nakuja humu naona ziii๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Namimi ndio naingia ndani nimepishana na jamaa anasikiliza kiredio.Kimoyo moyo nikajiambia Amiri acha janja janja ,nikaokota mawe.Angeyakanyaga tu.
 
Hahaahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ