Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Mkuu vipi tuliza wenge, usitumie nguvu nyingi saana..
 
Watu hamchokiii.....

Mie huwa nazira....usiku sitaki hata kushika simu nikaangalia km imepostiwa au laaaa.....huwa nasubiri kukuche

Jana nikajiliwaza na stories za jamaa waliokutana na matukio ya kustaajabisha....at least nikatoa arosto fresh
 
Watu hamchokiii.....

Mie huwa nazira....usiku sitaki hata kushika simu nikaangalia km imepostiwa au laaaa.....huwa nasubiri kukuche

Jana nikajiliwaza na stories za jamaa waliokutana na matukio ya kustaajabisha....at least nikatoa arosto fresh
Arosto zinaumiza. I am a very curious person inaninyima raha kutoona mwendelezo. Ila maisha still yanasonga. .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…