Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Much respect sna mkuu huwa story zako nazipendaga na hazichoshi Wala kumpoteza muda Ni wazi sas kina umughaka wakuige wew

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mgaya aliendelea kusema akiwa ananiniga shingo, anamtaka mwanae, anamtaka mwanae, hapo mimi sijui chochote kilichotokea, sijui chochote kinachoendelea zaidi ya njozi ile ya maajabu.

Kumekuchaaa, kumekuchaaa (kwa sauti ya mzee Majuto)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…