Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Shukrani sana Mmarekani nimefikaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani sana Mmarekani nimefikaa
Thanx furendi
Alipotelea wapi sijui ni mda umepitaThanx furendi
Mpaka tulisahau
Much respect sna mkuu huwa story zako nazipendaga na hazichoshi Wala kumpoteza muda Ni wazi sas kina umughaka wakuige wewBinafsi Katika story zangu zote ambazo nimekuwa nikiweka jukwaani, huwa nasubiria pakiwa hakuna jam ya story. Hii story ambayo naandika now, niliplan kuiweka tokea last year, ila kukawa na story 2 za Steve na moja ya Umughaka. Nikabaki kuwa msomaji, sikuanzisha story.
Ugumu unaokuja, Mtu akianzisha story ambayo inaweza isha ndani ya wiki mbili, atajivuta hata mwezi, miezi au zaidi. Sijui tatizo linakuwa wapi au ndio kusaka attention. Unakuta Uzi unawachangiaji wengi, ila humo ndani yamejaa malumbano tu, story haiendelei.
Mkuu nilishia pale Bab ako rasmi alivyokuja kukutembelea officialBasi sawa. Nenda kaendelee kuisoma yangu
Ahahaha mkuu nilisoma nikawa nimebanwa mno na mm huwezi kuta nakukosoa vikali mnk Huna mbambambWanakuwaga na mikwara sana hao jamaa. Sema nashangaa this time dr namugari kwenye Uzi wangu anapita kimya kimya, mwenzie Chizi Maarifa anaomba muendelezo [emoji28][emoji28][emoji28]
😅😅😅😅 Sawa mkuuAhahaha mkuu nilisoma nikawa nimebanwa mno na mm huwe kuta nakukozoa vikali mnk Huna mbambamab
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kaendelee 😅Mkju nilishia pale Bab ako rasmi alivyokuja kukutembelea official
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watu hatufanani mkuu, saa zingine wanakuwa wanabanwa na majukumu ya utafutajiMuch respect sna mkuu huwa story zako nazipendaga na hazichoshi Wala kumpoteza muda Ni wazi sas kina umughaka wakuige wew
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kweli hata kubanwa ndio mtu atupeleke miezi miatatu Hadi minneWatu hatufanani mkuu, saa zingine wanakuwa wanabanwa na majukumu ya utafutaji
Yaani mtu anakaha week nzima alfu anakuja kuleta blablah HV inamaana umeshindwa keleta in summary Kisha tutawanyikeKwaiyo hii ndo ndefu ??
Huyu kijana wenu anazinguana hukuna budi SAS kuambiwa ukweli kuwa anabore vibayaShukrani dear ila hii story mpaka muendelezo tena mwezi ujao
Kusimama usiku na kuswali. Tahajud...si Ramadhan hiiNdio nini nilipobold?
Okay hayo sikuwa nayajuaKusimama usiku na kuswali. Tahajud...si Ramadhan hii
Watu wote humu tukiungana Kisha tukamvaa vikali mleta Uzi huu am sure had ijumaa Hadith hi itakuwa imekwisha kbsa ,
Kama ameshindwa kuwazilisha aweke in summary tumalizane hapa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Bora hata wew una akili ,HV tuvijana vileta story vinaanza kujimwambafai kujidai viko busy na kaz na kuzingizia kutingwa na kuzingizia kutingwa hili halikubaliki Ni ujinga na Ni upuuzi kuwaendekeza HV tuvijanaAu aturuhusu wengine tuendeleze
Mgaya aliendelea kusema akiwa ananiniga shingo, anamtaka mwanae, anamtaka mwanae, hapo mimi sijui chochote kilichotokea, sijui chochote kinachoendelea zaidi ya njozi ile ya maajabu.