Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Baba usiipitie nakuomba sana kijana hayuko siriaz hatumi kwa wakati zipo nyingi huko kungineko baba nenda huko huyu usimpe credit ya kusomwa na wewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umeanza matatizo yako
 
Unaenda mitaa ya watu huku unayumba yumba? πŸ˜…πŸ˜…
Juzi nilipiga mbege na dogo mmoja wa songea akanyw kama maji usiku tumbo lilimuuma gas alilia kama mtoto mdogo. Nikamshindilia Maji mengi akatapika sana na tumbo likaachia.
Kunywa kwa kiasi ikizidi shidaπŸ˜ƒ uzuri situmii kilevu zaidi ya mbege
 
Shusha stor hiyo
 
Juzi nilipiga mbege na dogo mmoja wa songea akanyw kama maji usiku tumbo lilimuuma gas alilia kama mtoto mdogo. Nikamshindilia Maji mengi akatapika sana na tumbo likaachia.
Kunywa kwa kiasi ikizidi shidaπŸ˜ƒ uzuri situmii kilevu zaidi ya mbege
Ulitaka umuue mngoni wa watu? Yeye kazoea ulanzi, sio mbege πŸ˜…πŸ˜…
 
Yule dogo akiona mbege atakaa mbali sana πŸ˜ƒ
Hawezi kurudia tena huyo. Wakati nipo chalii, niliokotaga kikopo fulani hivi. Nilihangaika nacho sana hadi kukifungua. Nilivyofanikisha kukifungua, ndani kilikuwa empty ila kuna mabaki ya unga unga mweusi, nikakinusa. Aisee, ndani ya dakika chache mwili wote haukuwa nguvu.

Kufika home nilifanya kubebwa Na kukimbizwa hospital. Siku niliyopona, wakati natoka hospital, tulivyofika nje ya uzio wa hospital, Mshua alinigonga konzi moja Kali la kushtukiza kichwani. Tokea siku hiyo, nikikumbuka maumivu ya lile konzi na jinsi mwili ulivyokuwa after kunusa kile kikopo, huwa sipo curious tena πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Ila wewe una matukio [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…