Dr Steven Molle anazingua kautelekeza uzi wake wa hadith kule, kamlete basi aendeleeDah unanisikitisha sna kwamba bado hujui kuitumia mtandao huu wa jf Hadi kuanza kuombana link za nyuz za watu
Nenda moja kwa moja kweny account yake Kisha press post/ baada ya hapo utaona nyuz zake ziko nyingi uyachagua utasoma ipi uache ipi
Mfno huyu Jack d anazo nyuzi nyingi tu na yule poker fanya hyo hvyo utaona
Mbona umeita kinyonge hivyo 😂🤣
amepotea sanaMbona umeita kinyonge hivyo 😂🤣
Ndivyo inavyotakiwa 😂amepotea sana
ndo inatakiwa hivyo kutuacha na alosto😶Ndivyo inavyotakiwa 😂
Ndioo ili akija muinjoyndo inatakiwa hivyo kutuacha na alosto😶
anha, kama ivo sawaNdioo ili akija muinjoy
Yani leo nna ugwadu na hii storiSasa mtoa hadithi umeshindwa kutoa story wiki nzima jamani??
sio kwa watoto hawa wa sikuizi, eti na yeye ana ugwadu🤔🤔🤔Yani leo nna ugwadu na hii stori
View attachment 2596540
😂😂 dogo kaanza mapema sana bangisio kwa watoto hawa wa sikuizi, eti na yeye ana ugwadu🤔🤔🤔
aisee, kazi kwelikweli😂😂 dogo kaanza mapema sana bangi
Nae ana ugwadu japo sijui n wannaisee, kazi kwelikweli
labda kuna chakula amemisi kulaNae ana ugwadu japo sijui n wann
Hata kile kingine nacho ni chakulalabda kuna chakula amemisi kula
kwa umri wake bado, sidhani kama anaweza kula🤓Hata kile kingine nacho ni chakula