Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Dah unanisikitisha sna kwamba bado hujui kuitumia mtandao huu wa jf Hadi kuanza kuombana link za nyuz za watu

Nenda moja kwa moja kweny account yake Kisha press post/ baada ya hapo utaona nyuz zake ziko nyingi uyachagua utasoma ipi uache ipi

Mfno huyu Jack d anazo nyuzi nyingi tu na yule poker fanya hyo hvyo utaona
Dr Steven Molle anazingua kautelekeza uzi wake wa hadith kule, kamlete basi aendelee
 
SteveMollel why? why?
hqdefault.jpg
 
Hizi story za kutunga ambazo huwa mnalazimisha kusema ni kweli ukifikia hatua flani zinakuwa ngumu sana kuendeleza. Hapo mtunzi huanza kukimbia kimbia na kutoa udhuru. Unamwona kabisa yumo humu anasoma tu comments ila anakuambia hivi na vile. Yaani ili mradi tu.
 
Back
Top Bottom