Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Hii comment yangu ya mwisho, steve ni muoga na anapenda attention simulizi za kwanza alikua anamaliza as hakukua na wasimuliaji wengi kama sasa, so now hes being challenged watu huku na huko na kule wanatoa vitu konki ameingia uoga wa kushindwa not knowing haya si mashindano ndo mana utaona hes online reading and not responding hiyo ni reverse saikoloji ndo anaiaply hapa..am out
 
Hii comment yangu ya mwisho, steve ni muoga na anapenda attention simulizi za kwanza alikua anamaliza as hakukua na wasimuliaji wengi kama sasa, so now hes being challenged watu huku na huko na kule wanatoa vitu konki ameingia uoga wa kushindwa not knowing haya si mashindano ndo mana utaona hes online reading and not responding hiyo ni reverse saikoloji ndo anaiaply hapa..am out

Njoeni huku achaneni na arosto
 
Chanzo cha hadithi kimepotea unategemalea Steve alete episode toka wapi.!?
 

Njoeni huku achaneni na arosto
Sante mkuu
 
Hello guys, natumai mnaendelea vema.


Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.


Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.


Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.


Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.


Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.


Pasaka njema.
 
Hello guys, natumai mnaendelea vema.


Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.


Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.


Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.


Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.


Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.


Pasaka njema.
Daaah pole sana mkuu..,
 
Hello guys, natumai mnaendelea vema.


Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.


Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.


Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.


Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.


Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.


Pasaka njema.
Pole mpendwa Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
 
Hello guys, natumai mnaendelea vema.


Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.


Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.


Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.


Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.


Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.


Pasaka njema.
Pole sana Steve
 
Hello guys, natumai mnaendelea vema.


Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.


Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.


Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.


Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.


Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.


Pasaka njema.
Steve kwanza pole lakini lets call spade spade kwanini hukuandika haya mapema kabisa? U were here reading all this ungeweza kuandika mistari mitatu tu. Watz tuna huruma upendo na umoja mbona ungeeleweka na we would be checking on your howabouts while giving u all the time.....anyways ......
 
Hello guys, natumai mnaendelea vema.


Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.


Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.


Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.


Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.


Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.


Pasaka njema.
pole sana Steve
 
Majitu ya humu ni ya hovyo sana, yamepata aibu yameingia mitini, pumbvu kabisa .

Pole sana mkuu.

Shika kwenye mshono, usilete story mpaka siku 40 zipite
Hello guys, natumai mnaendelea vema.


Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.


Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.


Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.


Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.


Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.


Pasaka njema.
 
Bora hata wew una akili ,HV tuvijana vileta story vinaanza kujimwambafai kujidai viko busy na kaz na kuzingizia kutingwa na kuzingizia kutingwa hili halikubaliki Ni ujinga na Ni upuuzi kuwaendekeza HV tuvijana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Punguza umburula, mwenzio alikua na majanga .

Unawaza kwa kutumia mpododu wa kwenye avatar yako sio
 
Hii comment yangu ya mwisho, steve ni muoga na anapenda attention simulizi za kwanza alikua anamaliza as hakukua na wasimuliaji wengi kama sasa, so now hes being challenged watu huku na huko na kule wanatoa vitu konki ameingia uoga wa kushindwa not knowing haya si mashindano ndo mana utaona hes online reading and not responding hiyo ni reverse saikoloji ndo anaiaply hapa..am out
Kimbia tusikuone ss tutaendeleaa kumlalamikia na kumpa matusi had ajitokeze

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hello guys, natumai mnaendelea vema.


Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.


Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.


Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.


Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.


Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.


Pasaka njema.
Asie pole Sana kijan mnk watu walisema uko na unaonekana kwenye majukwa ya michezo ndio maana tuliendelea kukupopoa [emoji41]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom