Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unayajua matusi? Na wasile ban?So kuwepo online na kufuatilia story ndo kunawapa haki ya kutukana?
watu wanatukanana sana humu na hawali ban.Unayajua matusi? Na wasile ban?
Mkuu fanya jambo linakufurahisha rohoni lkn haliwakwazi wenginewatu wanatukanana sana humu na hawali ban.
Pole sana nduguHello guys, natumai mnaendelea vema.
Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.
Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.
Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.
Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.
Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.
Pasaka njema.
Kumbe akili Huna??Huu ndo mwendelezo ?
Vipi kama ndo ungekuwa wewe mama yako kafariki?Sasa wakati mnasafiri si ndo ungekuwa unatunga visa vingine? Au wewe ndo ulikuwa dereva? Mkiwa mmelala usiku kwa nini usiandike mwendelezo? Hata wakati wa kurudi Dar ungeandika visa vingi tu maana dar knjaro pana distance. Acha uvivu dogo endeleza kipaji cha utunzi watu waburudike sikukuu hizi.
Una kiheleheleSasa wakati mnasafiri si ndo ungekuwa unatunga visa vingine? Au wewe ndo ulikuwa dereva? Mkiwa mmelala usiku kwa nini usiandike mwendelezo? Hata wakati wa kurudi Dar ungeandika visa vingi tu maana dar knjaro pana distance. Acha uvivu dogo endeleza kipaji cha utunzi watu waburudike sikukuu hizi.
Pole sana kkHello guys, natumai mnaendelea vema.
Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.
Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.
Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.
Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.
Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.
Pasaka njema.
Pole sana SteveMollel Mungu awape nguvu familia yenu. Jipe moyo utashida haya mapito yote. My condolences
Vipi kama ndo ungekuwa wewe mwenyewe umefariki?Vipi kama ndo ungekuwa wewe mama yako kafariki?
Nyie huwa mnaolewa bila mahari.. mnadandia wanaume wasio wahusu.Una kihelehele
We jamaa ulitakiwa kuwa bonge la script writerYa leo ndefu, uliweza kusoma?
Kwamba wewe ni nani Yani ???SteveMollel nimepata malalamiko toka kwa wasomaji. Kuwa umeanza kulega lega kwenye utunzi. Sipendi tuje kukosana. Hebu kaa chini tunga story leta episodes hapa. Usianze kujifunza ule upuuzi wa maugaka yeye alianza kujiona star wakati alikuwa mshamba tu. Hebu tunga hizo parts nyingine ulete hapa. Sipendi wasomaji walalamike au wajisikie vibaya. Ukishindwa kuendeleza story sema wapo watu wengi tu wanaweza endeleza.
Anajikuta jiggaKwamba wewe ni nani Yani ???