Litro
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 1,080
- 2,248
Baba usiipitie nakuomba sana kijana hayuko siriaz hatumi kwa wakati zipo nyingi huko kungineko baba nenda huko huyu usimpe credit ya kusomwa na weweNimekuja
Ahsante sana
Ngoja niipitie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba usiipitie nakuomba sana kijana hayuko siriaz hatumi kwa wakati zipo nyingi huko kungineko baba nenda huko huyu usimpe credit ya kusomwa na weweNimekuja
Ahsante sana
Ngoja niipitie
Asante japo nimesoma imenipa tabu kuunganisha na seheme iliyoishia huko nyuma
Umeshiba futari😃Asante japo nimesoma imenipa tabu kuunganisha na seheme iliyoishia huko nyuma
Hahah nipo na watu ila si unajua ndoto unaota mwenyewe? Mateso unayapata mwenyewe mpk ushtuke unakua umelouwaaaUnalala mwenyew🤣🤣🤣🤣
Ukisikia mtu anagonga mlango ujue ni Amiri
🤣🤣🤣🤣umenyeshew mvua. Ukikabwa useme shindig shetaniHahah nipo na watu ila si unajua ndoto unaota mwenyewe? Mateso unayapata mwenyewe mpk ushtuke unakua umelouwaaa
Nitag ikiisha mkuu. Kwasasa nawaachia nyie
Nitag ikiisha mkuu. Kwasasa nawaachia nyie
Kuna kipindi kuna mbibi nilikua namuota daily anakuwa kama ananikaba nikawa nasali anapotea..I hope alikua mtu kweli..ukitokewa na lolote sila🤣🤣🤣🤣umenyeshew mvua. Ukikabwa useme shindig shetani
Leader of minions😃Glu 😅
Last time nimeenda Rombo nilikabwa. Like halikuwa kabali bali roba sio mchezo nilitapatapa sana bado kidogo ningejinyea😃🤣Kuna kipindi kuna mbibi nilikua namuota daily anakuwa kama ananikaba nikawa nasali anapotea..I hope alikua mtu kweli..ukitokewa na lolote sala
Yeah 😅😅Leader of minions😃
Mbona Rombo hizo mambo hazipo? Au na wao wameshaanza ulozi...Last time nimeenda Rombo nilikabwa. Like halikuwa kabali bali roba sio mchezo nilitapatapa sana bado kidogo ningejinyea😃🤣
Nikichinja mbuzi wawil like seriously kwa wazee
No kuna kipindi nilikuw naandika some stories za wasanii wa zamani. Nikaenda kwenye makabiri ya my old ancestors. Nikasali vizuri nikaend. From that day nikawa silali si unajua ukikata usingizi for 48hrs unaweza kata kamba. Ila nilikuw nalala one hour for four days. Nikamweleza mzee mmoja akasema wazee wanataka mbuzi ikanitoka 350,000 kununua mbuzi walivyochinja nikasepa sijarudi Rombo since 2018.Mbona Rombo hizo mambo hazipo? Au na wao wameshaanza ulozi...
Alikuwa kalewa huyo 😅😅😅Mbona Rombo hizo mambo hazipo? Au na wao wameshaanza ulozi...
HAaaaaha chicha za mbegeAlikuwa kalewa huyo 😅😅😅
Daah pole aisee...haya mambo sio poa unakabwa huoni msaadaNo kuna kipindi nilikuw naandika some stories za wasanii wa zamani. Nikaenda kwenye makabiri ya my old ancestors. Nikasali vizuri nikaend. From that day nikawa silali si unajua ukikata usingizi for 48hrs unaweza kata kamba. Ila nilikuw nalala one hour for four days. Nikamweleza mzee mmoja akasema wazee wanataka mbuzi ikanitoka 350,000 kununua mbuzi walivyochinja nikasepa sijarudi Rombo since 2018.
Nilikabwa sijawah ona niliteseka sana Mungu anajua kwa kweli😊