Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 1,479
- 3,229
Mtunzi
Yupo bize kidogo atamalizia tu tumpe mudaDah nimeimaliza, nasikitika kwamba haikwisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo bize kidogo atamalizia tu tumpe mudaDah nimeimaliza, nasikitika kwamba haikwisha
Toka MayMtunzi
Yupo bize kidogo atamalizia tu tumpe muda
Ahahahaaaaaaaaa....! Chiz kweli weweeNdioo...ni ya Shunie hii ndio anamsimulia
Hiyo Big yupo kwenye stori gan?Hivi kati ya Amiri na Big nani mnoma?, binafsi Big alikua anafanya naogopa kusoma story nikiwa pekeangu room hasa nyakati za usiku
Daaaahhh...!Sasa wakati mnasafiri si ndo ungekuwa unatunga visa vingine? Au wewe ndo ulikuwa dereva? Mkiwa mmelala usiku kwa nini usiandike mwendelezo? Hata wakati wa kurudi Dar ungeandika visa vingi tu maana dar knjaro pana distance. Acha uvivu dogo endeleza kipaji cha utunzi watu waburudike sikukuu hizi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😪🤣🤣🤣🤣 Analyse vituko as always.... Ujue mi nakupendea ivo vituko vyako tuu.. tena natamani nikuone hasa hiyo pua yako😋😃😃😃😃Hawezi kurudia tena huyo. Wakati nipo chalii, niliokotaga kikopo fulani hivi. Nilihangaika nacho sana hadi kukifungua. Nilivyofanikisha kukifungua, ndani kilikuwa empty ila kuna mabaki ya unga unga mweusi, nikakinusa. Aisee, ndani ya dakika chache mwili wote haukuwa nguvu.
Kufika home nilifanya kubebwa Na kukimbizwa hospital. Siku niliyopona, wakati natoka hospital, tulivyofika nje ya uzio wa hospital, Mshua alinigonga konzi moja Kali la kushtukiza kichwani. Tokea siku hiyo, nikikumbuka maumivu ya lile konzi na jinsi mwili ulivyokuwa after kunusa kile kikopo, huwa sipo curious tena 😅😅😅
Naomba tuelekeze vizuri plz mm hata sijaelewa..Dah unanisikitisha sna kwamba bado hujui kuitumia mtandao huu wa jf Hadi kuanza kuombana link za nyuz za watu
Nenda moja kwa moja kweny account yake Kisha press post/ baada ya hapo utaona nyuz zake ziko nyingi uyachagua utasoma ipi uache ipi
Mfno huyu Jack d anazo nyuzi nyingi tu na yule poker fanya hyo hvyo utaona
Ila mwanangu unashobo wewe mjuaji sana aisee punguzaSogea huku ukae vizuri. Enheeeh....hapo hapo. Safi.
Dogo tuliza makalio basi. Kwani kazima u twerk?Ila mwanangu unashobo wewe mjuaji sana aisee punguza
We una mambo ya kipimbi sanaa,Jitahidi na uwe makini sana .Dogo tuliza makalio basi. Kwani kazima u twerk?