Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Sasa wakati mnasafiri si ndo ungekuwa unatunga visa vingine? Au wewe ndo ulikuwa dereva? Mkiwa mmelala usiku kwa nini usiandike mwendelezo? Hata wakati wa kurudi Dar ungeandika visa vingi tu maana dar knjaro pana distance. Acha uvivu dogo endeleza kipaji cha utunzi watu waburudike sikukuu hizi.
Daaaahhh...!
 
Hawezi kurudia tena huyo. Wakati nipo chalii, niliokotaga kikopo fulani hivi. Nilihangaika nacho sana hadi kukifungua. Nilivyofanikisha kukifungua, ndani kilikuwa empty ila kuna mabaki ya unga unga mweusi, nikakinusa. Aisee, ndani ya dakika chache mwili wote haukuwa nguvu.

Kufika home nilifanya kubebwa Na kukimbizwa hospital. Siku niliyopona, wakati natoka hospital, tulivyofika nje ya uzio wa hospital, Mshua alinigonga konzi moja Kali la kushtukiza kichwani. Tokea siku hiyo, nikikumbuka maumivu ya lile konzi na jinsi mwili ulivyokuwa after kunusa kile kikopo, huwa sipo curious tena 😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😪🤣🤣🤣🤣 Analyse vituko as always.... Ujue mi nakupendea ivo vituko vyako tuu.. tena natamani nikuone hasa hiyo pua yako😋😃😃😃😃
 
Dah unanisikitisha sna kwamba bado hujui kuitumia mtandao huu wa jf Hadi kuanza kuombana link za nyuz za watu

Nenda moja kwa moja kweny account yake Kisha press post/ baada ya hapo utaona nyuz zake ziko nyingi uyachagua utasoma ipi uache ipi

Mfno huyu Jack d anazo nyuzi nyingi tu na yule poker fanya hyo hvyo utaona
Naomba tuelekeze vizuri plz mm hata sijaelewa..
 
Back
Top Bottom