Niliyojifunza katika jukwaa la Mahusiano na Mapenzi

1.Ndoa ni adui wa maendeleo ya Mwanaume kutegemea na mwanamke uliemuoa.

2.Litapokuja suala la upendo jiwekezee kwako kwanza pili awe mke.

3.Ukitaka kufa mapema kwenye mapenzi, kuwa NICE GUY.

4.M-Treat mkeo kama mnyama ili ndoa yako iwe na Amani.

5.Usimsamehe mkeo kama amekucheat.

6.Usimuoe mwanamke mwenye history ya kuingiliwa kwa MPALANGE.

7.Tegemea kuachwa muda wowote na mkeo haijalishi mumetoka wapi na ulimfanyia wema gani, akiamua kukuacha huwa haangalii ur background.

8.Hakuna kinacho mridhisha mwanamke kwasababu yeye mwenyew hajui, anachohitaji.

9.KATAAA NDOA ila hakikisha una watoto wakukufariji uzeeni.

[emoji419]10.Tafuta sana pesa kwani ndo kitu pekee kitakachokupa furha pale vtu vyote vtakapo ondoka.

N.B
NI MTAZAMO WANGU, TU.
True Believer[emoji3578]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…