Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
😩😩😩Ngoja niendelee kubeti ila itakuwa ya kishua sana hiyo nyumbaNdio maana yake. Kwa vile siwezi kushare hapa , imeshaisha na nimetumia si chini ya 150m
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😩😩😩Ngoja niendelee kubeti ila itakuwa ya kishua sana hiyo nyumbaNdio maana yake. Kwa vile siwezi kushare hapa , imeshaisha na nimetumia si chini ya 150m
Ni kweli😩😩😩Ngoja niendelee kubeti ila itakuwa ya Joshua sana hiyo nyumba
Kujenga ni issue, niliacha matanuzi yote nika focus kwenye kujenga. Ndio nimehamia mwezi wa 3 mwishoni. Nyumba ikiwa imeishaDuh si mchezo hiyo nyumba itakuwa ya million 100 na kuendelea lakini sie wa kutumia million 30 au 40 tuna hamia unakamilisha finishing ukiwa ndani nadra sana kukuta mtu kaweka grill za namna hiyo.
Ni kama addiction au hobby fulani.Ujenzi uendelee. Nitajenga na kujenga na kujenga
Wengine wananyooshwa unaweza kutajiwa gharama za ajabu ukiona kitu chenyewe unashangaa.Duh si mchezo hiyo nyumba itakuwa ya million 100 na kuendelea lakini sie wa kutumia million 30 au 40 tuna hamia unakamilisha finishing ukiwa ndani nadra sana kukuta mtu kaweka grill za namna hiyo.
Hio nyumba ina SQM ngapi?3, master zote, sebule kubwa, dining kubwa, jiko , store .
Urefu 17 upana 14. Lakini kuna sehemu zimeingia ndani. Si unajua nyumba haijanyooka kama box . Kupata vipimo halisi ni mpaka ujumlishe SM zoteHio nyumba ina SQM ngapi?
sqm 238, najaribu kuwaza hio 20m kwenye tiles.Urefu 17 upana 14. Lakini kuna sehemu zimeingia ndani. Si unajua nyumba haijanyooka kama box . Kupata vipimo halisi ni mpaka ujumlishe SM zote
Sebule ina 30. Smsqm 238, najaribu kuwaza hio 20m kwenye tiles.
17*14=238 sqm eneo lote la nyumba. Ndio nawaza 20,000,000/- ulizotumia kwenye tiles.Sebule ina 30. Sm
Yani tiles peke yake 20 imekata, kujenga sio mchezo aisee17*14=238 sqm eneo lote la nyumba. Ndio nawaza 20,000,000/- ulizotumia kwenye tiles.
Ndio maana yake.Yani tiles peke yake 20 imekata, kujenga sio mchezo aisee
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Na hizo ni za chini, bado kuta za vyoo na jiko ni shidasqm 238, najaribu kuwaza hio 20m kwenye tiles.
Ni kweli kabis hakuna sehem ngumu kama finishingKunakauli inakatisha tamaa, gharama za kupaua/za bati, zinanitoa damu...ila hapa naona kuwa ukipaua ndio unaanza ujenzi...wtf!!!si bora niache
Hiyo sebule au wanja wa mpira mzee🤣🤣🤣🤣 una wake wanne nini?Sebule ina 30. Sm
Finishing ni mbwembwe zako tuu jamani. Mbona pagumu nni kupaua. Ukishapaua nyumba imeishaNi kweli kabis hakuna sehem ngumu kama finishing
Mimi ni ke bwanaHiyo sebule au wanja wa mpira mzee🤣🤣🤣🤣 una wake wanne nini?