Niliyojifunza kutoka ujenzi wa nyumba yangu ya kwanza

Niliyojifunza kutoka ujenzi wa nyumba yangu ya kwanza

Kunakauli inakatisha tamaa, gharama za kupaua/za bati, zinanitoa damu...ila hapa naona kuwa ukipaua ndio unaanza ujenzi...wtf!!!si bora niache
Bati moja la futi 10 migongo mipana linaanzia 33k hadi 41k kulingana na kampuni. Na migongo midogo kuanzia 27k hadi 39k.
Kupaua nyumba ya kawaida yenye vyumba 3, sebule,dinning, stoo na jiko utahitaji si chini ya 4m kwa bati na misumari pekee. Hapo bado fundi
 
Kunakauli inakatisha tamaa, gharama za kupaua/za bati, zinanitoa damu...ila hapa naona kuwa ukipaua ndio unaanza ujenzi...wtf!!!si bora niache
Gharama za kupaua zinakua kubwa sababu zinahotajika kwa mara moja, kwa mfano mimi kupaua pekee nimetumia milion 7, hapo ni hela ya fundi bati na mbao. Ila baada ya kupaua, plumbing phase one ime cost 2M, frame za milango mti wa mpili laki tisa, wiring phase one, laki saba, grill 1.5 M, bado mambo yanaendelea
 
Gharama za kupaua zinakua kubwa sababu zinahotajika kwa mara moja, kwa mfano mimi kupaua pekee nimetumia milion 7, hapo ni hela ya fundi bati na mbao. Ila baada ya kupaua, plumbing phase one ime cost 2M, frame za milango mti wa mpili laki tisa, wiring phase one, laki saba, grill 1.5 M, bado mambo yanaendelea

Of which ni less kulingana na cost za kupaua ,why unatuambia ujenzi unaanza baada ya kupaua [emoji56] mimi nikishapaua uko kwingine nateleza tu labda kwenye aluminium ,kwa upande wangu ujenzi nimeanza kuuona wakati wa kupaua
 
Of which ni less kulingana na cost za kupaua ,why unatuambia ujenzi unaanza baada ya kupaua [emoji56] mimi nikishapaua uko kwingine nateleza tu labda kwenye aluminium ,kwa upande wangu ujenzi nimeanza kuuona wakati wa kupaua
Finishing ni gharama sana. Ndio maana amesema hivyo. Hakuna kuteleza kwenye finishing ndio maana boma zenye bati zipo nyingi watu wamezitelekeza [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Finishing ni gharama sana. Ndio maana amesema hivyo. Hakuna kuteleza kwenye finishing ndio maana boma zenye bati zipo nyingi watu wamezitelekeza [emoji28][emoji28][emoji28]

Nimejiongelea mimi mkuu kama kwako ipo hivyo ni sawa pia .
 
Gharama za kupaua zinakua kubwa sababu zinahotajika kwa mara moja, kwa mfano mimi kupaua pekee nimetumia milion 7, hapo ni hela ya fundi bati na mbao. Ila baada ya kupaua, plumbing phase one ime cost 2M, frame za milango mti wa mpili laki tisa, wiring phase one, laki saba, grill 1.5 M, bado mambo yanaendelea
Ahsante...duh, ngoja nijifunge mkanda...
 
Bati moja la futi 10 migongo mipana linaanzia 33k hadi 41k kulingana na kampuni. Na migongo midogo kuanzia 27k hadi 39k.
Kupaua nyumba ya kawaida yenye vyumba 3, secure,dinning, stood na jiko utahitaji si chini ya 4m kwa bati na misumari pekee. Hapo bado fundi
Ah, fundi alinambia 45k migongo mipana, ngoja nikaulize dukani
 
Finishing ni gharama sana. Ndio maana amesema hivyo. Hakuna kuteleza kwenye finishing ndio maana boma zenye bati zipo nyingi watu wamezitelekeza [emoji28][emoji28][emoji28]
Sure...bt haihitaji hela ya pamoja,
 
Back
Top Bottom