Lakini kumbuka kwamba kitengo Cha Cyber-Security ktk nchi hii kipo chini yao Hawa jamaa.Katika harakati za kuwatumia madogo application za polisi leo nimegundua kuwa kuna tatizo upande wa database za hawa jamaa(www.polisi.go.tz) kwani ukiupload document za user huyu zinaenda kwa user mwingine pia hauwezi ku preview muda wote SERVER ERROR, kwa nchi kama hii na ukubwa wake ninasikitika....
Umenikumbusha mambo ya Queue in server, bongo lalalalalaKatika harakati za kuwatumia madogo application za polisi leo nimegundua kuwa kuna tatizo upande wa database za hawa jamaa(www.polisi.go.tz) kwani ukiupload document za user huyu zinaenda kwa user mwingine pia hauwezi ku preview muda wote SERVER ERROR, kwa nchi kama hii na ukubwa wake ninasikitika....
Ilikuwa ni ya majaribio ni hao wenzetu ni wageni kwenye hayo mifumoKatika harakati za kuwatumia madogo application za polisi leo nimegundua kuwa kuna tatizo upande wa database za hawa jamaa(www.polisi.go.tz) kwani ukiupload document za user huyu zinaenda kwa user mwingine pia hauwezi ku preview muda wote SERVER ERROR, kwa nchi kama hii na ukubwa wake ninasikitika....
Sina uhakika kama wana weledi CYBER-SECURITY kama SERVER availability and robustiness imewashinda..Lakini kumbuka kwamba kitengo Cha Cyber-Security ktk nchi hii kipo chini yao Hawa jamaa.
ya wanafunzi wa field sio..Ilikuwa ni ya majaribio ni hao wenzetu ni wageni kwenye hayo mifumo
Ukitaka kula lazima uliwe, tumia akili zako.Katika harakati za kuwatumia madogo application za polisi leo nimegundua kuwa kuna tatizo upande wa database za hawa jamaa(www.polisi.go.tz) kwani ukiupload document za user huyu zinaenda kwa user mwingine pia hauwezi ku preview muda wote SERVER ERROR, kwa nchi kama hii na ukubwa wake ninasikitika....
Kwenye teknolojia Tanzania tuko nyuma miaka 27Ina maana website ya PHP inawashinda.
Bongo IT field bado sana.
Jidanganye, tupe hizo kazi.Ina maana website ya PHP inawashinda.
Bongo IT field bado sana.
Ni sahihi.Kwenye teknolojia Tanzania tuko nyuma miaka 27
Hii bongo ina watu wenye vichwa sana vya TEHAMA ila Sasa wale outdated people bado wanang'ang'ania field ndo maana kila kitu kimekwama, hadi natoka chuo hakuna nilichoambulia zaidi ya notes ujuzi mdogo niliota nao nimepata kwa washkaji, vyuo vya IT bongo ni bongolala vinakula hela ya bure
Mkuu,Ni sahihi.
1-IT wazee, unakuta hadi leo wanakomaa na PHP pamoja na jquery , aina hizi za site ni miaka ya 2008, bado wanapambana na headful frameworks.
Wakati hivi sasa kuna tech za kisasa, kuna react na framework kama nextjs ambayo ipo kasi sana, kuna vuejs, flutter , angular n.k hizo ni frameworks za kukata na shoka kwenye perfomance na muonekano, single page web app, sasa unakuta mtu bado anakomaa na PHP anatengeneza page kama 100 kwa html.
Kuna backend kama nodejs na framework yake kama expressjs ipo faster sana unaweka hosting aws huko kuna server zinaji extend specs tokana na wingi wa watumiaji, sasa hawa unakuta wameweka computer ya kawaida na windows server OS ndio server hio, ina RAM ndogo kulinganisha na watumiaji na pia port speed ni ndogo hali ya kuwa kwa kazi kama hii unahitaji port inakwenda atleast 1Gbps, cha ajabu website nyingi za gov wanatumia windows server ambayo ni nzito kwa sababu ina GUI, inapaswa watumie Linux CentOS au distributions nyingine nyingi za linux ambazo ni nyepesi na zina kasi pia ni open source na hapo kinachowashinda IT wengi kwamba Linux inatumia sana command line na hazina UI wakati windows server ina User Interface.
Google cloud, aws na azure kuna servers zinajipanua kiuwezo tokana na requests za watumiaji, hawa server zao zinazidiwa uwezo.
Kingine scripts wanazoandika error nyingi, unakuta code ambayo ingeandikwa kwa few lines of code mtu kaandika kitabu, hio ni shida kwenye perfomance hao IT wengi ni wabovu kwenye data structure and algorithms. Hovyoo kabisa.
Hio site ningeweza kuitengeneza kuanzia asubuhi hadi jua linazama namaliza kuanzia UI hadi backend, online kuna scripts nyingi tu za ku copy na customize kidogo kwa IT nondo.
Sio wote, lakini IT field bongo ni wababaishaji, mkisikia IT field inalipa na Programmers wapo kwenye high demand usifikiri ni hawa wanao host templates za wordpress na kutengeneza site kutumia wix.Jidanganye, tupe hizo kazi.
Ujue watu sijui kwanini wanapenda watu wenye majina makuuuuibwa huku wenye akili za haya mambo tumebaki tupo tuu ππ.
Hapo ukute wanasema consultant wa hiyo system katoka kenya sijui Rwanda.
Kuna kipindi mwaka flan ndio kwaaaaanza naimgia kwenye ajira, ile kampuni ilikua na kazi ya kutengeneza kazi ya mojawapo ya organs za serikali
Sasa bwana siku moja kama bahat mbaya nikajikuta naona files.
Nikazipitia tu juu juu, kisha kwa wema tu nikamwambia boss, kuwa hiz file zina shida, tena shida basic kabisa ambazo hata mimi ambaye sina hata miaka mi 3 toka chuo nimeweza kuzi spot.
Nikampa overview zangu na kumshauri akikaa na wataalamu wake awaulize straight kwenye maeneo nimemwambia uone wata react vipi..
BOooom!!!!!! Kukawa kuna kazi kazini π
Katika harakati za kuwatumia madogo application za polisi leo nimegundua kuwa kuna tatizo upande wa database za hawa jamaa(www.polisi.go.tz) kwani ukiupload document za user huyu zinaenda kwa user mwingine pia hauwezi ku preview muda wote SERVER ERROR, kwa nchi kama hii na ukubwa wake ninasikitika.