Niliyoona leo kwenye mfumo wa ajira wa Polisi ni Kituko

Niliyoona leo kwenye mfumo wa ajira wa Polisi ni Kituko

Haya mambo mimi nilishaachaga.. sitengenez website mimi
Nazungumzia kwenye kile kinachoelezwa kina changamoto ambapo ni website hio wanasema ya polisi.

Apps zote kuanzia twitter, instagram hadi tiktok ITs wa web services masuala ya API n.k wanahusika, hivi sasa AI imekuwa na demand kubwa karibu App nyingi zina AI.
 
Nazungumzia kwenye kile kinachoelezwa kina changamoto ambapo ni website hio wanasema ya polisi.

Apps zote kuanzia twitter, instagram hadi tiktok ITs wa web services masuala ya API n.k wanahusika, hivi sasa AI imekuwa na demand kubwa karibu App nyingi zina AI.
Mimi ni mtu mmoja sipendelei sana kuyakuza mambo. Haya ma AI sijui nini huwa nawauliza vijana kwanin vitu basic tu php hamjui mnakimbilia sijui kwenye matakataka gan sijui.???
Mimi ni very old school.
 
Mimi ni mtu mmoja sipendelei sana kuyakuza mambo. Haya ma AI sijui nini huwa nawauliza vijana kwanin vitu basic tu php hamjui mnakimbilia sijui kwenye matakataka gan sijui.???
Mimi ni very old school.
Ivan Stepanov
Inasikitisha sana. Field nzima ya IT ni hovyo hata huko kwingine.

Kuna producer flani miaka ya nyuma HDD yake ilipata hitilafu na kulikuwa na kazi za watu za muhimu sana, jamaa alitoa tangazo clouds FM kama kuna mkali anaweza restore data zake, aisee hakuna hata IT mmoja aliweza, ile HDD ilipelekwa UK yule producer alitoa kama sijasahau kama dola 4000 nadhani ndipo mzigo ukarejeshwa.
 
Ni sahihi.
1-IT wazee, unakuta hadi leo wanakomaa na PHP pamoja na jquery , aina hizi za site ni miaka ya 2008, bado wanapambana na headful frameworks.

Wakati hivi sasa kuna tech za kisasa, kuna react na framework kama nextjs ambayo ipo kasi sana, kuna vuejs, flutter , angular n.k hizo ni frameworks za kukata na shoka kwenye perfomance na muonekano, single page web app, sasa unakuta mtu bado anakomaa na PHP anatengeneza page kama 100 kwa html.

Kuna backend kama nodejs na framework yake kama expressjs ipo faster sana unaweka hosting aws huko kuna server zinaji extend specs tokana na wingi wa watumiaji, sasa hawa unakuta wameweka computer ya kawaida na windows server OS ndio server hio, ina RAM ndogo kulinganisha na watumiaji na pia port speed ni ndogo hali ya kuwa kwa kazi kama hii unahitaji port inakwenda atleast 1Gbps, cha ajabu website nyingi za gov wanatumia windows server ambayo ni nzito kwa sababu ina GUI, inapaswa watumie Linux CentOS au distributions nyingine nyingi za linux ambazo ni nyepesi na zina kasi pia ni open source na hapo kinachowashinda IT wengi kwamba Linux inatumia sana command line na hazina UI wakati windows server ina User Interface.

Google cloud, aws na azure kuna servers zinajipanua kiuwezo tokana na requests za watumiaji, hawa server zao zinazidiwa uwezo.

Kingine scripts wanazoandika error nyingi, unakuta code ambayo ingeandikwa kwa few lines of code mtu kaandika kitabu, hio ni shida kwenye perfomance hao IT wengi ni wabovu kwenye data structure and algorithms. Hovyoo kabisa.

Hio site ningeweza kuitengeneza kuanzia asubuhi hadi jua linazama namaliza kuanzia UI hadi backend, online kuna scripts nyingi tu za ku copy na customize kidogo kwa IT nondo.
Safiii....
Umeeleza vzr sana.
Kuna haja ya hizi Taasisi kuangalia watu wa IT maana Ulimwengu wa Kitekinolojia unaenda Kasi sana.
 
Back
Top Bottom