100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
We angalia website wanazotengeneza utabubujikwa na machozi.Mkuu,
Umemwaga nondo balaa KUNA IT mmoja wa wilaya yupo sharo kinomaa Umenikumbusha darasani Ila Mimi Ni dropout 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We angalia website wanazotengeneza utabubujikwa na machozi.Mkuu,
Umemwaga nondo balaa KUNA IT mmoja wa wilaya yupo sharo kinomaa Umenikumbusha darasani Ila Mimi Ni dropout 😂😂😂
😂😂. Baba!!! Umenikumbusha 2nd year, hilo dude la data structure **** test ile ya kwanza nilikula 0.5%...IT wengi ni wabovu kwenye data structure na algorithms, ni wabovu sana.
Haya mambo mimi nilishaachaga.. sitengenez website mimiWe angalia website wanazotengeneza utabubujikwa na machozi.
Nazungumzia kwenye kile kinachoelezwa kina changamoto ambapo ni website hio wanasema ya polisi.Haya mambo mimi nilishaachaga.. sitengenez website mimi
Mimi ni mtu mmoja sipendelei sana kuyakuza mambo. Haya ma AI sijui nini huwa nawauliza vijana kwanin vitu basic tu php hamjui mnakimbilia sijui kwenye matakataka gan sijui.???Nazungumzia kwenye kile kinachoelezwa kina changamoto ambapo ni website hio wanasema ya polisi.
Apps zote kuanzia twitter, instagram hadi tiktok ITs wa web services masuala ya API n.k wanahusika, hivi sasa AI imekuwa na demand kubwa karibu App nyingi zina AI.
Ivan StepanovMimi ni mtu mmoja sipendelei sana kuyakuza mambo. Haya ma AI sijui nini huwa nawauliza vijana kwanin vitu basic tu php hamjui mnakimbilia sijui kwenye matakataka gan sijui.???
Mimi ni very old school.
Sana chief..Inasikitisha sana.
Safiii....Ni sahihi.
1-IT wazee, unakuta hadi leo wanakomaa na PHP pamoja na jquery , aina hizi za site ni miaka ya 2008, bado wanapambana na headful frameworks.
Wakati hivi sasa kuna tech za kisasa, kuna react na framework kama nextjs ambayo ipo kasi sana, kuna vuejs, flutter , angular n.k hizo ni frameworks za kukata na shoka kwenye perfomance na muonekano, single page web app, sasa unakuta mtu bado anakomaa na PHP anatengeneza page kama 100 kwa html.
Kuna backend kama nodejs na framework yake kama expressjs ipo faster sana unaweka hosting aws huko kuna server zinaji extend specs tokana na wingi wa watumiaji, sasa hawa unakuta wameweka computer ya kawaida na windows server OS ndio server hio, ina RAM ndogo kulinganisha na watumiaji na pia port speed ni ndogo hali ya kuwa kwa kazi kama hii unahitaji port inakwenda atleast 1Gbps, cha ajabu website nyingi za gov wanatumia windows server ambayo ni nzito kwa sababu ina GUI, inapaswa watumie Linux CentOS au distributions nyingine nyingi za linux ambazo ni nyepesi na zina kasi pia ni open source na hapo kinachowashinda IT wengi kwamba Linux inatumia sana command line na hazina UI wakati windows server ina User Interface.
Google cloud, aws na azure kuna servers zinajipanua kiuwezo tokana na requests za watumiaji, hawa server zao zinazidiwa uwezo.
Kingine scripts wanazoandika error nyingi, unakuta code ambayo ingeandikwa kwa few lines of code mtu kaandika kitabu, hio ni shida kwenye perfomance hao IT wengi ni wabovu kwenye data structure and algorithms. Hovyoo kabisa.
Hio site ningeweza kuitengeneza kuanzia asubuhi hadi jua linazama namaliza kuanzia UI hadi backend, online kuna scripts nyingi tu za ku copy na customize kidogo kwa IT nondo.
Ni huzuni kwakweli