Niliyosema yameanza kutimia. Nilisema Fadlu ataua viwango wachezaji sasa anaua timu

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Nashaangaa mpaka sasa viongozi simba hawaoni.Nimeandika nyuzi nyingi za kuhusu fadlu na kuja kuua vipaji..

Sasa uwezo wa Chares Auwa, Balua na Kijili unashuka sana. Ata ateba sio alivyokuja

Hadi Mavambo kocha anasema eti jitumi.

Viongozi Simba oneeni huruma fedha za Mooo.

Kama hamuwezi kupata kocha wa kueleweka hao wachezaji mpeni mgunda tu.

Kocha wa kuokota anaumiza sana wachezaji.
 
Coach Fadlu ni mzuri tu
Simba wampe muda
Naona wachezaji wanakuzwa tu
 
Mtaumia sana
 
kichaa kabisa wewe, mfano game ya jana ulitaka kocha afanye nn kngine?
 
Ushabiki pembeni simba tumchkue Gamondi!
Huyu Fadlu hana mbinu kabisa za kutengeneza mashambulizi, tunashinda kibahati bahati tu, hii kwa Mkapa hatoki mtu huyu jamaa haiwezi kabisa,timu kama ya jana ilitakiwa ipigwe si chini ya bao 3.
 
Mbona simba inashinda? Wewe unasema kocha anaua viwango vya wachezaji
 
Fadlu anataka runners,unamuona Kibu kuna mtu anamsema maybe kwakutofunga but always give 100%,
Madogo wamelewa sifa plus kula bata wanatumika muda mwingi mno nje yauwanja then wanashindwa perform shida sio kocha wachezaji ndio ttz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…