William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Mtaumia sanaNashaangaa mpaka sasa viongozi simba hawaoni.Nimeandika nyuzi nyingi za kuhusu fadlu na kuja kuua vipaji..
Sasa uwezo wa Chares Auwa, Balua na Kijili unashuka sana. Ata ateba sio alivyokuja
Hadi Mavambo kocha anasema eti jitumi.
Viongozi Simba oneeni huruma fedha za Mooo.
Kama hamuwezi kupata kocha wa kueleweka hao wachezaji mpeni mgunda tu.
Kocha wa kuokota anaumiza sana wachezaji.
kichaa kabisa wewe, mfano game ya jana ulitaka kocha afanye nn kngine?Nashaangaa mpaka sasa viongozi simba hawaoni.Nimeandika nyuzi nyingi za kuhusu fadlu na kuja kuua vipaji..
Sasa uwezo wa Chares Auwa, Balua na Kijili unashuka sana. Ata ateba sio alivyokuja
Hadi Mavambo kocha anasema eti jitumi.
Viongozi Simba oneeni huruma fedha za Mooo.
Kama hamuwezi kupata kocha wa kueleweka hao wachezaji mpeni mgunda tu.
Kocha wa kuokota anaumiza sana wachezaji.
Mbona simba inashinda? Wewe unasema kocha anaua viwango vya wachezajiNashaangaa mpaka sasa viongozi simba hawaoni.Nimeandika nyuzi nyingi za kuhusu fadlu na kuja kuua vipaji..
Sasa uwezo wa Chares Auwa, Balua na Kijili unashuka sana. Ata ateba sio alivyokuja
Hadi Mavambo kocha anasema eti jitumi.
Viongozi Simba oneeni huruma fedha za Mooo.
Kama hamuwezi kupata kocha wa kueleweka hao wachezaji mpeni mgunda tu.
Kocha wa kuokota anaumiza sana wachezaji.
Fadlu anataka runners,unamuona Kibu kuna mtu anamsema maybe kwakutofunga but always give 100%,Nashaangaa mpaka sasa viongozi simba hawaoni.Nimeandika nyuzi nyingi za kuhusu fadlu na kuja kuua vipaji..
Sasa uwezo wa Chares Auwa, Balua na Kijili unashuka sana. Ata ateba sio alivyokuja
Hadi Mavambo kocha anasema eti jitumi.
Viongozi Simba oneeni huruma fedha za Mooo.
Kama hamuwezi kupata kocha wa kueleweka hao wachezaji mpeni mgunda tu.
Kocha wa kuokota anaumiza sana wachezaji.