Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm je???Mpeni Nifa maua yake.
Hata kwa akili zake aliwaza sana.
TrueUwiiiiiiiii Mungu wangu jamani!
Albadir ya TAMlikuwa mnashangilia eti chura kiziwi anaupiga mwingi watu uchumi umrinuka wana jenga mijengo
Ooh jamani, that means kuna watu wengi zaidi watakuwa wamefariki.Mpaka mda huu naondoka....nilichoshuhudia ni harufu Kali ya maiti
Kupata mtu akiwa hai...ni MUNGU AAMUE
YeahOoh jamani, that means kuna watu wengi zaidi watakuwa wamefariki.
God help 🙏
Pamoja...kaka mkubwa...!!!Big up sana Chawa na Tajiri kwa msaada.
Lowasa alisemaga haya kipindi akiwa waziri mkuu. Na yakatajwa baadhi ya magorofa. Wanaleta siasa pinda naye alilizungumzia zikaendelea siasa nao ni wakati wa kuvuna kile tulichokipandaKarikakoo inahitaji kuchunguzwa yale majengo yote.
Tujifunze kupitia ajali hii tusije tukajisahau mbeleni
Mitaa mingi imefungwa na ukiondoka umeondoka kurudi ni usiku.Mpaka mda huu naondoka....nilichoshuhudia ni harufu Kali ya maiti
Kupata mtu akiwa hai...ni MUNGU AAMUE
Dah, mbona ghafla sana Ndugu?Ushaingia kwenye orodha yangu ya ninaowaombea
Swali la kujiuliza ??je wamejifunzaaaKarikakoo inahitaji kuchunguzwa yale majengo yote.
Tujifunze kupitia ajali hii tusije tukajisahau mbeleni