saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Umeanza siasa? Pandq jukwaani siasa ni ushawishiMkiambiwa muipige chini CCM mnajikwepesha
Ngoja tuendelee kufa hadi tuzinduke usingizini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza siasa? Pandq jukwaani siasa ni ushawishiMkiambiwa muipige chini CCM mnajikwepesha
Ngoja tuendelee kufa hadi tuzinduke usingizini
Kigali mkuu...... nilikua nafungua biashara hukoUlipotea wapi mkuu
AminaMungu ibariki Tanzania
Kuna mtu ameniambia hii pia...Mpaka mda huu naondoka....nilichoshuhudia ni harufu Kali ya maiti
Kupata mtu akiwa hai...ni MUNGU AAMUE
Poa karibu aseKigali mkuu...... nilikua nafungua biashara huko
TrueKuna mtu ameniambia hii pia...
Kwamba eneo maafa yalipotokea harufu ni kali sana...
Ni kweli?
Nimerudi kitambo tuPoa karibu ase
Kibongobongo huwezi pewa maua yako maana sio maarufu.Mm je???
Imenitoka million 9..... kununua vifaa na chakula na maji na madawa
Nimekusoma kaka.... pamojaKibongobongo huwezi pewa maua yako maana sio maarufu.
Mpaka ujitangaze huku na huko.
Chukua maua yako mjomba
Aiseeeee. Inasikitisha sana.Mpaka mda huu naondoka....nilichoshuhudia ni harufu Kali ya maiti
Kupata mtu akiwa hai...ni MUNGU AAMUE
Real...so sadAiseeeee. Inasikitisha sana.
Tunaomba risiti na invoice ikionesha umetumia kiasi hiko. 😀😀😀😀 Hongera mkuu.Mm je???
Imenitoka million 9..... kununua vifaa na chakula na maji na madawa
Muhimu zaidi pasiruhusiwe ujenzi chini ya ghorofa ambalo tayari limejengwa, limekamilika na linatumika.Karikakoo inahitaji kuchunguzwa yale majengo yote.
Tujifunze kupitia ajali hii tusije tukajisahau mbeleni
Hela zenyewe za michango....unataka yanikute ya Niffer 😂😂😂Tunaomba risiti na invoice ikionesha umetumia kiasi hiko. 😀😀😀😀 Hongera mkuu.
Nilisha sema hapa na nitazidi Kusema.
Waafrika wengi wanakufa kutokana na ujinga, uzembe, rushwa, kuishi kwa mazoea, siasa, tamaa na njaa.
Wala hakuna Mungu anayepanga kifo au uhai wa watu.
Hapana alikua ndani ya kifusi kuna mdada pembeni akasema tunakosa hewaaaaa kwa nguvu...ila nje walikua wanagonga gonga it seems walikua wanakaribia kuwafikia...Nahisi hivyo... au alikua muokoaji
Oooh sawa....!!Hapana alikua ndani ya kifusi kuna mdada pembeni akasema tunakosa hewaaaaa kwa nguvu...ila nje walikua wanagonga gonga it seems walikua wanakaribia kuwafikia...
uyo shetani unayemzungumzia ndo ccm mwenyeweUsiniweke kwenye hio list Ndugu yangu, naichukia CCM na Watu wake wote na KAZI zake zote KULIKO hata ninavyomchukia shetani. Ungejua nawaza nini kichwani, ungeniombea
CCM ik8kaa pembeni tutakuwa serious kidogoLowasa alisemaga haya kipindi akiwa waziri mkuu. Na yakatajwa baadhi ya magorofa. Wanaleta siasa pinda naye alilizungumzia zikaendelea siasa nao ni wakati wa kuvuna kile tulichokipanda