Niliyoyabaini katika Operesheni ya Polisi dhidi ya watuhumiwa wa Panya Road - Dar es salaam

Inaonyesha wewe kwa WELEDI Wako Wa sheria na kujieleza, ndio mmiliki wa Makundi Yote haya ya Panya Road kwa maana walisema wengi wakikamatwa walikuwa wanaachiwa kwani kuna watu wajuzi wa kuwasemea, kumbe ni wewe!! Anyway, mi ningekuona una busara kama ungeenda kwanza kuhoji familia za wahanga waliouliwa, kukatwakatwa viungo, na wengine kupata vilema vya maisha sambamba na kudhulumiwa mali zao wazi wazi tena kwa matukio ya kutamba na kufanya watakacho, Leo unakuja hapa kufuatilia majambazi wenzako ili kudhoofisha hii oparesheni ili uendelee kupokea mali za wizi na kuleta taharuki kwa wakazi wa Dar!! Hovyo kabisa wewe
 
Ninawasiwasi na huyu Nondo yawezekana nae ni mhalifu au anawafadhili hawa panyarodi
Jeshi la polisi hebu mwekeni sehemu salama huyo Nondo ili mjiridhishe kwanza anamaslahi gani na hao panyarodi mpaka awatetee na picha ajipige?,kwenye suala la amani tuache siasa pembeni huyu Nondo akiendelea please jeshi la polisi msiome muhari mkamayeni huyu

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Mambo yaende kisheria sio nguvu, Sheria zirekebishwe kutoa adhabu kali kwa uhalifu. Sio mabavu yatumike...
Hujakuta nao wewe hao vijana wa kazi, usiombe, hilo wazo lako la kisheria hutoliongelea kamwe, acha ujinga
 
kumjibu mtu kama wewe ni kupoteza muda. Kama umewahi kuathirika kweli na hizi mambo huwezi kuandika huu upuuzi wako. yan polisi waruke nyumba 100 wamfuate mtu tena na mjumbe afu asiwe mhalifu, hebu ficha ujinga wako.
kwahiyo unataka wafanywe nn? waendelee kupelekwa jela tu. hivi unaweza kumuambia mama wa yule binti aliyeuawa hiki unachokisema hapa? yan wao waue iwe sawa akiuawa mnakuja kujaa humu kutetea. acha ujinga tena nyamaza.
 
brazaj
 
Hapo hapo wanaowaibia kodi zenu mnawashangilia,hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,pole sana
 
Yawezekana cku likimfka wa karibu yako utatia akil
wazungu wanasema"you nailed it all"kwa lugha yetu ya kibantu inamaanisha umemaliza kila kitu!sina cha kuongeza!vijana wanatakiwa wafanye kazi kwa bidii hii njia ya shot cut haisaidii!hata vitabu vyote vinasema mshahara wa dhambi ni mauti
 
Mjinga ni wewe. Upeo wako wa kuchambua mambo ni mdogo sana. Huwezi kuona implications za mauaji bila upelelezi wala ushahidi. Huwezi kuuna kuwa hii ni loophole inayoweza kutumiwa na baadhi ya polisi kufanikisha nia zao ovu. Wajinga kama wewe wanaachwa mpaka liwapate la kuwapata kwani ubongo wao hauwezi kufikiria bila kufikwa na jambo.
 
Hujakuta nao wewe hao vijana wa kazi, usiombe, hilo wazo lako la kisheria hutoliongelea kamwe, acha ujinga
Nawe lisikukute la mwanao katajwa kwa chuki tu kuwa ni panya road kumbe siyo. Huwezi rudia rubbish hii inauosema hapa.
 
We nae kumbe huna akili, unawatetea hao majambazi, inafaa nawewe ukamatwe upewe stahiki yako,

Yaani ungejua hao vijana jinsi walivyo jeruhi watu kule maeneo ya tegeta na kunduchi, kawe wameua kabisa, na kwingineko pia,Tena polisi wameua wachache Sana hao majambazi
 
Hapo hapo wanaowaibia kodi zenu mnawashangilia,hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,pole sana
Kwa hiyo we una ID ngapi!? Yaani unaandika uzi wa kutetea panya road na unajijibu mwenyewe!!? Mpuuzi mkubwa we
 
Naunga mkono jeshi la polisi dhidi ya adhabu wanayowapa panyaroad
 
Kusema kweli kubishana ni Mitanzania isiyojua maana ya utawala wa Sheria ni kupoteza muda.

Kubwa wao wanawaamini sana polis ambao kumbe wao ni wahalifu wakubwa.

Kumbuka issue ya wafanyabiashara wa madini wa Mahenge.
Timu ya kijaji ndiyo iliwakuta na hatia ya kuwaua wake wafanyabiashara.

Baadhi ya mapolisi hai walihukumiwa kunyongwa.
Halafu watu hapa wanabwabwaja tu.
 
THREAD YA KUPUUZA HII.
POLISI NAO WANACHOKA JAMANI ACHA WAWAFYEKE,KUMBUKENI POLISI WETU KABLA YA KUFANYA LOLOTE HUWA WANAKUWA WAMESHACHUNGUZA KWA KINA,KABLA YA UTEKELEZAJI.
Ni kweli. Watu wengine walikaa kimya wakati panyarodi wakifanya walichokifanya. Sasa wanashindwaje kukaa kimya wakati polisi wanafanya wanachokifanya? Kula na kulipa ndio mtindo. Polisi hawajakurupuka hata kidogo. Wewe kuwa panyarodi tu lakini uwe tayari kukubaliana na matokeo.
 
sawa mimi mjinga. wewe mwerevu una akili nyingi sana. hongera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…