Sio ukwakwasi ni ukakasi.
Chuki za kijinga na wivu kivipi?? Thibitisha.
Na niwaonee wivu kwa lipi haswa?
Akina nani wapo juu yangu?Unawaonea wivu sababu wako juu yako..
Nakuonaga unavyopondaga wasanii,mkuu badilila una vinasaba vya ukatili
Akina nani wapo juu yangu?[/QUOTE
Akina lavalava
Pitia topics zako za nyumbaLava Lava ni mwanafamilia mwenzangu wa WCB ninaanzaje kumchukia?
Usinichoshe.Pitia topics zako za nyumba
Bhaaana weeee Sikia nikuambie Bro Baba ako alikutafutia sponsorship ukasome ulaya Na wewe ulitafuta sponsor wakukufundisha umalaya ,umbea,ujinga
hii comment imekaa kiume nna wasiwasi na avatar yako
Usinichoshe.
IndeedBongo furaha yetu ni kufeli kwa wenzetu.
Ule msemo wa aliyeko juu mngoje chini ndo applicability yake hiyo. Akichelewa kushuka tafuta jinsi ya kumshusha.
Dahh umelijuaje hilo !!?Kidume rijali kabisa [emoji13][emoji13]
Hahaa jinga kweli .. hapa umejibu kama Ke nyau weeeUsinichoshe.
Nimeona ananiletea mambo meusi ,nikaona ngoja nimkate kasi kwanza.Hahaa jinga kweli .. hapa umejibu kama Ke nyau weee
Hahaa " haina noma tuko pamojaNimeona ananiletea mambo meusi ,nikaona ngoja nimkate kasi kwanza.
Daah umeuliza swali la kitoto sanaDahh umelijuaje hilo !!?
Hii reply imenifanya nielewe kiundani zaidi . asanteDaah umeuliza swali la kitoto sana
[emoji23] [emoji23] wewe ni kichomi haswa [emoji23]Usinichoshe.