Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #101
Hili liwe fundisho kwa wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂 hilo tusi la.nyau analipenda kweli mange anamtukanag pole pole hahHHHahaa jinga kweli .. hapa umejibu kama Ke nyau weee
Tia neno mkuu ht kidgaiseee
aaaah mkuu kwasababu hii thread imeletwa na huyo jamaaTia neno mkuu ht kidg
Kuna mtu hata mmoja ameandika katepeliwa pesa acha umbea utasutwa.Hili liwe fundisho kwa wote.
aaaah mkuu kwasababu hii thread imeletwa na huyo jamaa
ngoja nikae kimya tu... maoni yangu kwake huwa yanapokelewa vibaya sana na tulisha sign mkataba wa amani mimi na yeye kwenye thread moja ilifanana na hii mods waliifuta
sasa nikisema niweke neno nitakuwa navunja mkataba wa makubaliano ya amani nisije pelekwa THE HAGUE bureee
Nisute.Kuna mtu hata mmoja ameandika katepeliwa pesa acha umbea utasutwa.
😂😂😂😂😂😂😂mwanaume umeongea hatimaye