Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Ulishapata demu wa kijini alafu ukaogopa.😄😄 hajarudi mpaka leo?
 
Hii Ouja ni hatari mm nilisummon akaja Roho mmoja tukawa tunaongea nikamuuliza una umri gani akaniambia miaka mia nne nikamuuliza naomba nikuulize historia ya miaka hiyo akanipa sharti mmoja akaniambia niende chooni nipake yale maji ya choo mwili mzima ndio atanisimulia nikamuambia hakuna njia nyingine akasema unaona uchafu nikamwambia siwezi akanisonya nikamcomand kwa sauti ya mamlaka ya juu ile sauti kali huku nikimwambia maneno yafuatayo ya kishetani Zay Zay Zay Laa Hassh alitoka baruti huyo kwa maaana hayo maneno yana nguvu alisema unataka kuniunguza wakati mm sio mbaya ni mtu poa akakimbia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…