Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
๐น๐น๐น๐น Hao ndio nawataka nione tofauti yao na hawa wanaume zetu wa kimatumbiMwisho utaita majini ya kiume yaanze kukushika nyash [emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐น๐น๐น๐น Hao ndio nawataka nione tofauti yao na hawa wanaume zetu wa kimatumbiMwisho utaita majini ya kiume yaanze kukushika nyash [emoji2][emoji2]
Hao wachafu ungekutana nao ungeona show show ๐น๐น๐นNilowaita mimi wote wasafi.
Ndio maana nilikauka koo.
Unafanya masihara nini usome maandishi ya kiarabu usawa wa karatasi 22 za kaunta!?
Wachafu kuna namna yao ya kuwaita.
๐๐๐๐ Huyu ndio anakoelekea kuna siku alikuwa anafanya yoga, nikamfurusha acha alalamike nimemuharibia mission zake.!!Subiri siku na yeye aite mizimu ije ndani ndyo mtajua sasa ๐
Hawawezi kunigusa.Hao wachafu ungekutana nao ungeona show show ๐น๐น๐น
Ahahahhaha mi nalala peke angu mkuu...Sawa mkuu, na wewe ukitaka kuagiza niambie nikuunge na jamaa
๐น๐น๐น Mchumba tu huyo.!!Lamomy hiyo ni demo ๐๐๐๐๐.
We kaza fuvu akitokeza hapo haukai tena ana urefu wa zaidi ya futi kumi madam.
Hiyo ni demo tu.
Ukimuona nyoka tu wa mita moja unaruka ruka sembuse umuone joka upana wa meza na urefu wa mita tatu na zaidi!?
Acha utani madam๐๐๐๐๐๐
Sijasikia sauti ya kuongea, lakini uwepo wake unaujua baada ya mkono kuzunguka bila idhini yako, yana kama mtu amaushika alafu anauzungusha yeye.Linaongea lugha gani
Sawa mkuu, ni vyema kukaa nayo mbali kabisaAhahahhaha mi nalala peke angu mkuu...
We hayo madude hata ukisema uniagizie bure sitaki
Bora kife atasababisha maafa ni mtundu sana.!!Sema kibongo bongo kipaji kitafia njiani atakapoanza kuambiwa atatufe pesa๐๐๐
Hakika wito umesikikaKijana naona umetuita na huku
Okay kazi yao hasa ni nini?Sio watu, ni majini
Unaropoka tu dada AISEE๐๐๐๐๐.๐น๐น๐น Mchumba tu huyo.!!
Mi nataka nimuone hata awe na futi 200 siogopi.
Wale walokutoa mkuku ni wa wapi? ๐๐๐Hawawezi kunigusa.
Kuna visomo vitatu kimoja kinaitwa tahsin suffly na kingine kinaitwa saifir Umar na kingine kinaitwa saifyl ulamaau.
Hivyo ukisoma hata jini kutoka Msumbiji anakukimbia.
Wana kazi zao wanazijua wenyewe, wanaishi maisha yao kama tunavyo ishi maisha yetu.Okay kazi yao hasa ni nini?
Kwamba mshumaa unateketea ili uwasiliane na viumbe?Ile ya rangi imetengenezwa kwa mazumuni hayo so hakuna kunyanyasika katika kutimiza jukumu la kutengenezwa kwake
๐น๐น๐น๐น wewe umeliona au nawe unajitengenezea picha la kutisha??Unaropoka tu dada AISEE๐๐๐๐๐.
Acha utani madam,nyoka tu mfupi kasheshe sembuse dude lote hilo!?
Tujifurahishe na story tu ila sio mchezo.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐Kwa huyo sijamuona ila kwa yule aliyemuita kwa namna alivyoteseka kwa muda wa siku nne akili ina wenge pia kwa shimo alotuonesha ndipo katokea AISEE sio poa.๐น๐น๐น๐น wewe umeliona au nawe unajitengenezea picha la kutisha??
Je wana madhara wakiitwa? Wanapendelea nini sana sana. Vipi kuhusu sifa zao zikojeWana kazi zao wanazijua wenyewe, wanaishi maisha yao kama tunavyo ishi maisha yetu.