Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Sema huyu jamaa nimchunguzi wa mambo mno huwa nafuatilia nyuzi zake kwa ukaribu mno huenda akaja kugundua kitu😁
Mzee wa research 😹😹😹

Kuna mtoto wa dadaangu ana tabia hizo hizo anapenda kuchanganya changanya vitu, kuna siku alichanganya vitu gani sijui vikamlipukia nilivyorudi home nikamkuta ana vidoti vya kuungua usoni nikabaki nasikitika..!!
Kuna friji lilikuwa linasumbua nikamuita fundi akatengeneza baada ya mwezi likaanza tena kusumbua linapiga kelele, chuma kilivyorudi likizo akacheza na friji ikawa nzima no kelele inapiga kazi..!!
Ana vimatukio vingi mpk naogopa asije kunichomea kibanda changu cha urithi.!!
 
Mzee wa research 😹😹😹

Kuna mtoto wa dadaangu ana tabia hizo hizo anapenda kuchanganya changanya vitu, kuna siku alichanganya vitu gani sijui vikamlipukia nilivyorudi home nikamkuta ana vidoti vya kuungua usoni nikabaki nasikitika..!!
Kuna friji lilikuwa linasumbua nikamuita fundi akatengeneza baada ya mwezi likaanza tena kusumbua linapiga kelele, chuma kilivyorudi likizo akacheza na friji ikawa nzima no kelele inapiga kazi..!!
Ana vimatukio vingi mpk naogopa asije kunichomea kibanda changu cha urithi.!!
Sema kibongo bongo kipaji kitafia njiani atakapoanza kuambiwa atatufe pesa😁😁😁
 
😹😹😹 huyo km naagin hatishi bana.!!
Sema wanakuwa na mbwembwe nyingi, mizimu ya kihindi hio
Lamomy hiyo ni demo 😂😂😂😂😂.
We kaza fuvu akitokeza hapo haukai tena ana urefu wa zaidi ya futi kumi madam.
Hiyo ni demo tu.
Ukimuona nyoka tu wa mita moja unaruka ruka sembuse umuone joka upana wa meza na urefu wa mita tatu na zaidi!?
Acha utani madam😂😂😂😂😂😂
 
Mzee wa research 😹😹😹

Kuna mtoto wa dadaangu ana tabia hizo hizo anapenda kuchanganya changanya vitu, kuna siku alichanganya vitu gani sijui vikamlipukia nilivyorudi home nikamkuta ana vidoti vya kuungua usoni nikabaki nasikitika..!!
Kuna friji lilikuwa linasumbua nikamuita fundi akatengeneza baada ya mwezi likaanza tena kusumbua linapiga kelele, chuma kilivyorudi likizo akacheza na friji ikawa nzima no kelele inapiga kazi..!!
Ana vimatukio vingi mpk naogopa asije kunichomea kibanda changu cha urithi.!!
Subiri siku na yeye aite mizimu ije ndani ndyo mtajua sasa 😂
 
Hii Ouja ni hatari mm nilisummon akaja Roho mmoja tukawa tunaongea nikamuuliza una umri gani akaniambia miaka mia nne nikamuuliza naomba nikuulize historia ya miaka hiyo akanipa sharti mmoja akaniambia niende chooni nipake yale maji ya choo mwili mzima ndio atanisimulia nikamuambia hakuna njia nyingine akasema unaona uchafu nikamwambia siwezi akanisonya nikamcomand kwa sauti ya mamlaka ya juu ile sauti kali huku nikimwambia maneno yafuatayo ya kishetani Zay Zay Zay Laa Hassh alitoka baruti huyo kwa maaana hayo maneno yana nguvu alisema unataka kuniunguza wakati mm sio mbaya ni mtu poa akakimbia
😹😹😹 Ulimkuta mzee angekuwa kijana angekuwasha kofi, hiyo Zay ingekuwa Zuchu
 
Back
Top Bottom