Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Sasa itakuwaje??Wasafi huwezi kuwaita kirahisi.
Unachukua muda na ujipange kweli.
Mi hao wahuni siwataki wanaonekana wababe hawana ustaarabu.!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa itakuwaje??Wasafi huwezi kuwaita kirahisi.
Unachukua muda na ujipange kweli.
Wifi Anya ndo nani tena??Watu mna ujasiri Mimi nikisikia Anya amekatiza tu shughuli😀
Panya bhana my Wii 😀😀😀Wifi Anya ndo nani tena??
🤣🤣🤣Kwahio ukiwa unafanya Utafiti unapaswa usiwe una pika na kusiwepo viporo maana wataharibu bajet🤔🤔🤔
Ujasiri hutokana na kiu ya kujua mambo tofauti, hasa yale magumuWatu mna ujasiri Mimi nikisikia panya amekatiza tu shughuli😀
😹😹😹 Kuna siku nilienda gheto la rafiki yangu alipita panya mkubwa km sungura mpk nikashtuka aiseee.!!Panya bhana my Wii 😀😀😀
🤣🤣🤣😹😹😹 Kuna siku nilienda gheto la rafiki yangu alipita panya mkubwa km sungura mpk nikashtuka aiseee.!!
Nikamwambia mahi hama hii nyumba huyu sio panya wa kawaida, halafu ana macho anakutazama haogopi.
Uija ni Mlango ukiufungua ukaiita Mizimu ya Mababu ukaongea nayo kuhusu changamoto mbalimbali kisha Unaufunga mlango hauna kazi tena.Duh, sasa mkuu huoni kama ilihatarisha afya yako kwa kula ugali uliopikwa kwa moto wenye marashi ya kijini
Lakini sio mizimu au rohu safi, zote ni chafu na huweza kuleta madhara makubwaUija ni Mlango ukiufungua ukaiita Mizimu ya Mababu ukaongea nayo kuhusu changamoto mbalimbali kisha Unaufunga mlango hauna kazi tena.
Weka story kidogo kuhusu hayo mambo mkuu, napenda kujua kitu kimtindo.Aaaagh wee unaweza kufa ama kujikojolea.
😂😂😂😂Is not that simple maana kwanza wengi wao wakija huja na macho ya kijani sanaa ama blue sanaa,pia urefu wa futi 7 sio chini ya hapo.
Japo wanakuja wanavutia wowowo hilo😂😂😂😂😂.
Ila macho na urefu noop is such a fvcking disaster.
Tatizo la kufungua Mlango wataingia hata Mashetani na Viumbe vibaya hasa kwa wale wanaoenda kufungulia Makaburini.Lakini sio mizimu au rohu safi, zote ni chafu na huweza kuleta madhara makubwa
Panya anakukata macho kimchuzi km mke mwenzie 😂😂😂
Viumbe wabaya wapo sehem zote sio makaburini tu, hata nyumbani kwako waweza kuwa nao kama hauzingatii mambo ya kiusafi na maombi au ibadaTatizo la kufungua Mlango wataingia hata Mashetani na Viumbe vibaya hasa kwa wale wanaoenda kufungulia Makaburini.
Ndio hiyo hiyo kaamua kutuhadithia na kujipa uhusika wa movieStory yako inkaribia kufanana na ile Movie ya Veronica niliiangalia hadi mwisho japo inatisha sana
Daaang!! Like serious??Ngojea nikuletee mfano wa picha anavyokua.
Huyu ni jini wa kiarabu ni tajiri wa red mercury.
Anatokea chini ya ardhi,kumuita eidha umuite porini,uwanja wa wazi,baharini ama mtoni.
Ila ukimuita chumbani umevunja nyumba.
Sio lazima uamini niliyo yaandika, ila ni jambo ambalo nimelifanya na naweza kurudia kulifaya tena.Ndio hiyo hiyo kaamua kutuhadithia na kujipa uhusika wa movie
🤣🤣🤣Anavojua kutoa macho SasaPanya anakukata macho kimchuzi km mke mwenzie 😂😂😂
Evidence please?🥺🥺Ndio hiyo hiyo kaamua kutuhadithia na kujipa uhusika wa movie
Upo ila mashati yao ni matatu;Kumbe uwezekano upo ?