Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #141
Kwanza hupaswi kuwa pekeyako, inafaa muwe mnacheza zaidi ya mmoja na mikono yenu wote mnaiweka kwenye board.Kwahio ukiwa unafanya Utafiti unapaswa usiwe una pika na kusiwepo viporo maana wataharibu bajet🤔🤔🤔
Mimi nilikosea kucheza pekeyangu tena usiku mzito