Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Mkuu elezea nataka kujaribuSisi tuliwahi kuucheza miaka ya 2006 huko, nadhani nitakupa dodosa na sheria zake soon, ukitaka kuacha, siyo kukimbia na kuchoma moto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu elezea nataka kujaribuSisi tuliwahi kuucheza miaka ya 2006 huko, nadhani nitakupa dodosa na sheria zake soon, ukitaka kuacha, siyo kukimbia na kuchoma moto.
😂😂😂😂Hamna Yani ukitumia nilotumia mimi ni ya kuitwa majini ya kiroho kiujumla.Uliwaita majini ya kike na upwiru wako, wamekuja kukuonyesha show unawafukuza 😹😹😹
Dah.!! Nimecheka sana.!!
Ngoja nijaribu hiyo nione mijini ya kiume
Na ni Mshumaa mweupe, mwekundu na mweusiMishumaa inanyanyasika mno bila hatia.
Wapo wengine walipata madhara ya kiafya kabisa, kama kupooza na kukosa nguvu kwa baadhi ya viungo vyao.Kuna makala moja ya kizungu mashuhuda wanaelezea mambo ya ajabu waliyokutana nayo. Mwanamke mmoja alielezea kitu kama hiki aisee.
Alisema walipokuwa mabinti yeye na dada yake walicheza huo mchezo kisiri bila ya wazazi wao kujua ila matokeo yake ni kama walizikaribisha hizo entity kwenye familia yao. Ikawa ni kisanga mtafutano kila ikifika mida ya giza.
Mkuu Mie nitatumia siku moja ama mbili mpaka linakamilika hilo jambo.Mkuu sio jambo dogo kama unavyo dhania, mimi nilitumia karibia mwaka mzima kusoma na kudadisi namna ya utumiaji wa hiyo kitu.
Sema hapo walipokuvuta miguu inaonekana wababe sana.!! 😹😹😹😂😂😂😂Hamna Yani ukitumia nilotumia mimi ni ya kuitwa majini ya kiroho kiujumla.
Ila ukisoma mara 71 ikafika masiku meupe ya mwezi wa kiarabu ambayo ni tarehe 13,14 na 15 basi ni siku ya wao kuwatembelea watu waliowachagua na waliowapenda.
Na mimi nilifatwa siku ya 14 ya mwezi wa kiarabu.
Luckily akati nasoma nilisoma chumba cha kuswalia ambapo nilipitiwa usingizi humo humo.
Maana ingekua chumbani napolala wife sijui angenifanyaje maana ni mbabe 😂😂😂😂😂.
Sawa lakini jini likikupenda linakuganda siku zote, halitaki uwe na mwanaume mwingine zaidi yake 😂😂Mimi mpk nione hizo warning sizitaki 😹😹
VP majini ya kike nayo yanaganda ?Sawa lakini jini likikupenda linakuganda siku zote, halitaki uwe na mwanaume mwingine zaidi yake 😂😂
Upo tayari?
Kwahy unatest zali then unapiga maombi 😂😂😂Nipo huru, lakini sina imani tu na chumba changu.Nimesha jaribu mambo mengine ya kutisha zaidi kuliko hilo, pia kwa sasa nimeacha na nimezidisha maombi na sala
Km limekidhi vigezo sawa 😹😹😹Sawa lakini jini likikupenda linakuganda siku zote, halitaki uwe na mwanaume mwingine zaidi yake 😂😂
Upo tayari?
Maombi ni utaratibu wa siku zote, ila maruerue yakizidi na maombi itabidi yazidi piaKwahy unatest zali then unapiga maombi 😂😂😂
Sidhani kama ni yale majini ya kutoa hela, haya yapo kimkakati zaidiKwann usiombe Hela kijn
Mkuu itabidi ujaribu ili ujue sasa, na ukilipata lishangazi la kijini ndy utakoma 😂😂VP majini ya kike nayo yanaganda ?
Ilipaswa umwambie shida yako, i wish niyatumie kwa faidaSidhani kama ni yale majini ya kutoa hela, haya yapo kimkakati zaidi
Sio kuona tu, utahisi kabisa kuna kitu kipo karibu yakoMimi mpk nione hizo warning sizitaki 😹😹
Kaptain upwiru ataongoza utafiti nahato jutia maana atasave pesa ya kuhonga Machangu😂😂😂Mkuu itabidi ujaribu ili ujue sasa, na ukilipata lishangazi la kijini ndy utakoma 😂😂
Lengo langu halikuwa kueleza shida, nilitaka nione tu na kupata uhakika kama hawa viumbe wapoIlipaswa umwambie shida yako, i wish niyatumie kwa faida
Bado siogopi nitamwambia ajitokeze live nimuone kwa uso wa nyamaSio kuona tu, utahisi kabisa kuna kitu kipo karibu yako