Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Uliwaita majini ya kike na upwiru wako, wamekuja kukuonyesha show unawafukuza 😹😹😹
Dah.!! Nimecheka sana.!!
Ngoja nijaribu hiyo nione mijini ya kiume
😂😂😂😂Hamna Yani ukitumia nilotumia mimi ni ya kuitwa majini ya kiroho kiujumla.
Ila ukisoma mara 71 ikafika masiku meupe ya mwezi wa kiarabu ambayo ni tarehe 13,14 na 15 basi ni siku ya wao kuwatembelea watu waliowachagua na waliowapenda.
Na mimi nilifatwa siku ya 14 ya mwezi wa kiarabu.
Luckily akati nasoma nilisoma chumba cha kuswalia ambapo nilipitiwa usingizi humo humo.
Maana ingekua chumbani napolala wife sijui angenifanyaje maana ni mbabe 😂😂😂😂😂.
 
Kuna makala moja ya kizungu mashuhuda wanaelezea mambo ya ajabu waliyokutana nayo. Mwanamke mmoja alielezea kitu kama hiki aisee.

Alisema walipokuwa mabinti yeye na dada yake walicheza huo mchezo kisiri bila ya wazazi wao kujua ila matokeo yake ni kama walizikaribisha hizo entity kwenye familia yao. Ikawa ni kisanga mtafutano kila ikifika mida ya giza.
Wapo wengine walipata madhara ya kiafya kabisa, kama kupooza na kukosa nguvu kwa baadhi ya viungo vyao.
 
😂😂😂😂Hamna Yani ukitumia nilotumia mimi ni ya kuitwa majini ya kiroho kiujumla.
Ila ukisoma mara 71 ikafika masiku meupe ya mwezi wa kiarabu ambayo ni tarehe 13,14 na 15 basi ni siku ya wao kuwatembelea watu waliowachagua na waliowapenda.
Na mimi nilifatwa siku ya 14 ya mwezi wa kiarabu.
Luckily akati nasoma nilisoma chumba cha kuswalia ambapo nilipitiwa usingizi humo humo.
Maana ingekua chumbani napolala wife sijui angenifanyaje maana ni mbabe 😂😂😂😂😂.
Sema hapo walipokuvuta miguu inaonekana wababe sana.!! 😹😹😹
Sasa mimi nataka niwaite niwahoji kuna vitu nataka kujua kutoka kwao
 
Back
Top Bottom