Niliyoyaona baada ya kumiliki gari ya Mzungu

TATIZO wabongo wengi ni waoga(nikiwemo na Mimi) ndiyo maana tunakimbilia Kwenye matoyota Kwasabb kuna spare parts za bei rahisi(fake) na spare used pale mitaa ya shaurimoyo Kariakoo
Na tunaoishi mawilayani ikizingua hadi nije shaurimoyo?? sisi wa kipato cha chini mjapani yupo kila mahali yaani hata ikizingua saa4 usiku fundi anakutoa road
 
Waache wawe shamba darasa
Hhahahahaaaaaaaa kwakweli ngoja uone gari inauzwa 12M kisa Sensor tu imezingua mpaka uagize German.

Kuna BMW namba DK ilikuwa inauzwa bei ya kutupa kuuliza nkaambiwa ni mambo ya umeme na sensor. jamaa kapambana hadi akaamua alisukume. nlitakani nlinunue nihamishie injini ya 3S nitambe mjini. 🙂 🙂 🙂
 
Kama bei reasonable unaitupia tu 3S unainjoy kasha la BMW bila kero za ma sensor.
 
Mkuu hongera sana kwa kumiliki chuma cha ukweli,,,pitia na hapa ukutane na ndugu yako boss.

 
[emoji23][emoji23][emoji23] Acha mikwara [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmiliki wa zamani wa vw Touran hapa,kaa nayo hata mwaka hivi ndio uje kupost tena hapa chief. Mimi ilinipa msiba mkubwa sana japo gari ilikua kali sana ,sunroof,8 airbags nk Ila dashboard ilikua inawaka taa kama mti wa Christmas.
 
Sasa gari kuzingua sensor haimaanishi zote zitazingua sensor...gari ni utunzaji bro..hizo toyota ngapi zimepaki garage na zinaoza!?

Kuna watu wapo rafu sana na gari!!lzma zitakusumbua tu
 
Na tunaoishi mawilayani ikizingua hadi nije shaurimoyo?? sisi wa kipato cha chini mjapani yupo kila mahali yaani hata ikizingua saa4 usiku fundi anakutoa road
Yes nashukuru umejua kuwa ni feki...nilitest kujua plugs OG za toyota premio nikaambiwa ni 45k..so ukitaka kujua toyota nayo ina gharama,tafuta spare zake OG uone!!
 
Tunayapenda magari ya wazungu ila mifuko yetu ndio shida wacha tuvimbe kwa mjapan tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…