Hahahaha wa kuskia ataskia ila kenge atasubiri kutoka damu za masikio na kufanywa shamba darasa. πππ
Raha ye mjerumani ni pale ikihitaji specialist wa mfumo esp. umeme! Au ikifa a very complicated sensor.
Nilidhani unazungumzia magari yetu ya "nyumbu" made in Tanzania. Hebu kuwa mzalendo, miliki kitu Nyumbu 0kmWasalaam
Kwanza nianze kwa kusema kwamba maoni yangu sio sheria..haya ni maoni tu na mambo niliyoyaona baada ya kufanikiwa kumiliki gari ya mzungu
Mwanzoni nilikuwa na Toyota premio lkn niliichoka mapema baada ya kupata nayo ajali..bahati nzuri nikafanikiwa kuiuza kwa bei nzuri tu..nikawa najivuta kujichanga changa ili nivute ndinga nyingine kutoka ulaya
Nilipoingia humu kupata maoni khs hiyo gari(Volkswagen golf touran) kwa kweli negative comment zilikuwa nyng sana..nikapiga moyo konde nikaagiza hvyo hvyo..potelea pote,hela inatafutwa tu!!
Mwezi ulioisha nikafanikiwa kuikamata hii ndinga...nna kama mwezi mmoja hivi tangia niikamate na nishasafiri nayo mkoani nnapowajibika kikazi
Haya ni mambo machache sana nnayoweza kusema kuhusu gari ya mzungu:
Mosi,Kwa upande wa CONFORTABILITY,aisee toyota wameachwa mbali sana..Boss wangu ana Kluger,lkn majuzi alitaka aitest tu hii gari(maana kazini nnayo mwenyewe),aliivulia kofia
Pili,Kwa upande wa MAINTANANCE,kusema kweli vipuri vyake ni gharama kdg,ila ni GENUINE...ilinibidi nibadilishe plugs pamoja na break pads..plug moja nilinunua kwa tsh 35K..kwa upande wa break pads za mbele nilinunua kwa 160k na nyuma 95k
Tatu,kwa upande wa UPATIKANAJI WA SPARE,ilinibidi nitumie siku 1 nzima kuzunguka k/koo mpk posta kutafuta sehemu wanapouza spare za haya magari..nilifanikiwa kupata machimbo mengi,zaidi ya 5,lkn kuna chimbo moja lipo mtaa wa kisutu kuna muhindi mmoja ana kila aina ya spare ya magari ya MZUNGU..na kama hatakuwa nayo,ndani ya siku 5 anaagiza na unaipata...so kwa wale ambao ni waoga wa namna ya upatikanaji wa spare watoe shaka kbsa
Nne,kwa upande wa jinsi gari lilivyo..kwa kweli nimevutiwa na kila kitu...na kitu kizuri zaidi huitaji kuhangaika na chochote kwenye gari...muda wa service ukifika,taa ikiungua au jambo lolote ambalo sio normal kwenye gari basi DASHBOARD yako itakuonyesha,huna haja ya kuhangaika
Tano,Kwa wazee wa SPEED...hapa ndo mahali pake..niliyoichukua mm ina engine ya TSI,Speed 260..wakati nakuja nayo mkoani niliwatesa sana watu wenye ma prado yao/harrier waliokuwa wanataka ligi barabarani ...kuna jamaa mmoja alikuwa na crown aisee yule jamaa ni dereva,nilitoana nae jasho haswa ila mwishoni aliukubali mziki wangu ikabidi aniombe nisimame ili tu aijue hii gari..
Sita,Kwa upande wa kutulia barabarani(BALANCE)..aisee wazungu wazungu tu...kwenye mkeka wa njombe pale nilifanikiwa kufika spidi 250,lkn gari ndo kwanza inakamata chini..haiyumbi wala nn,imetulia balaa!!
Saba,Kwa uchunguzi wa haraka haraka nilioufanya(sina uhakika sana),brand rahisi ya magari ya ulaya kuimiliki moja wapo ni Volkswagen,hata maintenance yake ni ya kawaida tho ipo juu kidogo kulinganisha na Toyota..ila ipo chini sana kulinganisha na BMW au BENZI
Nane,Hii si gari ya kumpa kila mtu aiendeshe..madereva tunatofautiana..kama nilivyosema,hitilafu yeyote lzm DASHBOARD itakuonyesha...sasa ukiwa mtu wa kuazimisha sana,hii gari lazma uichukie!!
Tisa,Kwa upande wa SAFETY,hapa mzungu ndipo anΓ pompiga konzi la sikio mjapani..kwa hesabu za haraka hii gari ina AIRBEGS zaidi ya 4 ili tu kukuhakikishia usalama wako na familia pindi majanga yanapotokea
MWISHO...Unaenda mwezi wa 2 huu sasa sijapata tatizo lolote la kiufundi kwenye gari wala gari kusumbua au kuzimika au kugoma kuwaka...lipo freshi tu na linapiga kazi vizuri tu na ulaji wake wa mafuta ni mzuri sana kwa kweli..Tutoe uoga,kama unawish kumiliki gari ya mzungu miliki tu,acha kutishwa na maneno maneno ya watu
NB: Huku niliko hakuna hata duka moja linalouza spare za VW..ni mwendo wa Toyota,Subaru na Suzuki tu!!hata Mazda na Honda pia mtihani[emoji3][emoji3]
Adios!!
Sasa umeona yani, matatizo ya Toyota ni very easy kuyaspot sababu watu wengi wana familiarity nazo yani. Kitu kikizingua ni rahisi yani fundi analijua tatizo kabla hata hajafungua fungua.
Accessibility pia ni very simple, vitu vyote viko open.Usiombe kurekebisha kitu kidogo kwenye gari ya kitasha.Utafungua fungua mavitu kibao ndio ufikie hicho unachotaka kutoa.
sikukosea popote chief,dsg transmission za kwanza kutoka vw/audi group zilikua ni msiba(03/07) kama sikosei. gari yangu ilipata msiba wa gearbox kwanza kabla ya misiba mingine ya electronics kibao. Sehemu gani hapo dar ningepeleka gari yangu ikafanyiwe matengenezo ya gearbox?Ulishawahi jiuliza umekosea wapi?
Hongera sana mkuu kwa REVIEW uliyoitoa....Wasalaam
Kwanza nianze kwa kusema kwamba maoni yangu sio sheria..haya ni maoni tu na mambo niliyoyaona baada ya kufanikiwa kumiliki gari ya mzungu
Mwanzoni nilikuwa na Toyota premio lkn niliichoka mapema baada ya kupata nayo ajali..bahati nzuri nikafanikiwa kuiuza kwa bei nzuri tu..nikawa najivuta kujichanga changa ili nivute ndinga nyingine kutoka ulaya
Nilipoingia humu kupata maoni khs hiyo gari(Volkswagen golf touran) kwa kweli negative comment zilikuwa nyng sana..nikapiga moyo konde nikaagiza hvyo hvyo..potelea pote,hela inatafutwa tu!!
Mwezi ulioisha nikafanikiwa kuikamata hii ndinga...nna kama mwezi mmoja hivi tangia niikamate na nishasafiri nayo mkoani nnapowajibika kikazi
Haya ni mambo machache sana nnayoweza kusema kuhusu gari ya mzungu:
Mosi,Kwa upande wa CONFORTABILITY,aisee toyota wameachwa mbali sana..Boss wangu ana Kluger,lkn majuzi alitaka aitest tu hii gari(maana kazini nnayo mwenyewe),aliivulia kofia
Pili,Kwa upande wa MAINTANANCE,kusema kweli vipuri vyake ni gharama kdg,ila ni GENUINE...ilinibidi nibadilishe plugs pamoja na break pads..plug moja nilinunua kwa tsh 35K..kwa upande wa break pads za mbele nilinunua kwa 160k na nyuma 95k
Tatu,kwa upande wa UPATIKANAJI WA SPARE,ilinibidi nitumie siku 1 nzima kuzunguka k/koo mpk posta kutafuta sehemu wanapouza spare za haya magari..nilifanikiwa kupata machimbo mengi,zaidi ya 5,lkn kuna chimbo moja lipo mtaa wa kisutu kuna muhindi mmoja ana kila aina ya spare ya magari ya MZUNGU..na kama hatakuwa nayo,ndani ya siku 5 anaagiza na unaipata...so kwa wale ambao ni waoga wa namna ya upatikanaji wa spare watoe shaka kbsa
Nne,kwa upande wa jinsi gari lilivyo..kwa kweli nimevutiwa na kila kitu...na kitu kizuri zaidi huitaji kuhangaika na chochote kwenye gari...muda wa service ukifika,taa ikiungua au jambo lolote ambalo sio normal kwenye gari basi DASHBOARD yako itakuonyesha,huna haja ya kuhangaika
Tano,Kwa wazee wa SPEED...hapa ndo mahali pake..niliyoichukua mm ina engine ya TSI,Speed 260..wakati nakuja nayo mkoani niliwatesa sana watu wenye ma prado yao/harrier waliokuwa wanataka ligi barabarani ...kuna jamaa mmoja alikuwa na crown aisee yule jamaa ni dereva,nilitoana nae jasho haswa ila mwishoni aliukubali mziki wangu ikabidi aniombe nisimame ili tu aijue hii gari..
Sita,Kwa upande wa kutulia barabarani(BALANCE)..aisee wazungu wazungu tu...kwenye mkeka wa njombe pale nilifanikiwa kufika spidi 250,lkn gari ndo kwanza inakamata chini..haiyumbi wala nn,imetulia balaa!!
Saba,Kwa uchunguzi wa haraka haraka nilioufanya(sina uhakika sana),brand rahisi ya magari ya ulaya kuimiliki moja wapo ni Volkswagen,hata maintenance yake ni ya kawaida tho ipo juu kidogo kulinganisha na Toyota..ila ipo chini sana kulinganisha na BMW au BENZI
Nane,Hii si gari ya kumpa kila mtu aiendeshe..madereva tunatofautiana..kama nilivyosema,hitilafu yeyote lzm DASHBOARD itakuonyesha...sasa ukiwa mtu wa kuazimisha sana,hii gari lazma uichukie!!
Tisa,Kwa upande wa SAFETY,hapa mzungu ndipo anΓ pompiga konzi la sikio mjapani..kwa hesabu za haraka hii gari ina AIRBEGS zaidi ya 4 ili tu kukuhakikishia usalama wako na familia pindi majanga yanapotokea
MWISHO...Unaenda mwezi wa 2 huu sasa sijapata tatizo lolote la kiufundi kwenye gari wala gari kusumbua au kuzimika au kugoma kuwaka...lipo freshi tu na linapiga kazi vizuri tu na ulaji wake wa mafuta ni mzuri sana kwa kweli..Tutoe uoga,kama unawish kumiliki gari ya mzungu miliki tu,acha kutishwa na maneno maneno ya watu
NB: Huku niliko hakuna hata duka moja linalouza spare za VW..ni mwendo wa Toyota,Subaru na Suzuki tu!!hata Mazda na Honda pia mtihani[emoji3][emoji3]
Adios!!
Hongera sana mkuu kwa REVIEW uliyoitoa....
Ila kiuhalisia naona ni mapema sana kutoa REVIEW kali namna hii..
Ungekaa angalau mwaka hivi, ukutane na mvua za vuli na masika...upate kasafari angalau ka km 60 za rough raod yenye madimbwi kiasi..
Miezi miwili mkuu haitoshi kutoa recommendations kuwa gari halisumbui...
Nina Nissan mwaka wa 6 na nusu sasa haijanisumbua chochote kwenye injini wala transmission...ni yale mambo ya kawaida tu, kama bushes, brake pads,ball joints na shock absorbers za mbele...hivi vinaisha mapema kwa sababu ya hizi bara bara zetu...
Hapa angalau ninaweza nikasema neno lolote kuhusu hii NISSAN...ila kwa wewe subiri angalau one year or so.....
Tuombe uzima tukutane Tena January 2022.. reviews zikiwa hizo hizo, angalau unaweza kusema gari halina shida..
Weka ushuhuda tujifunze mkuu.Naomba baada ya miaka miwili ulete uzi mwingine wa maendeleo tafadhali[emoji23][emoji23]
Me na ushuhuda ila ngoja nikuache kwanza uenjoy
ka Note tu kadogo dogo kwa mwka 2005Mkuu hivi una Nissan gani?
pole sana chief maana hizi gari za mjerumani ni nzuri kununua mpya,used zinatutesa kweli.VW si gari ya kukimbilia.inachachuka anytime. Na haliuziki kirahisi. Hapo lilizingua safarini xmass
msiba wa hizi gari usikie kwa mwenzio tu.Mkuu kwanini uwe muoga wakati gari za kijerumani zinauzwa bei chee kuliko hata Toyota of the same years.
Nunua bana next time agiza used bmw kabisa ambayo ni kali sana kuliko Toyota interms of comfort na mbwembwe nyengine. Bado tunahitaji kujifunza kupitia mifano hai.
Naamini utakuwa balozi mzuri sana chiefπ
niliweka engine ya carina Ti kwenye body ya vw touran lakini gari haikua kama zamani,mwisho wa siku nikauza kwa bei ya kutupa tu.Kama bei reasonable unaitupia tu 3S unainjoy kasha la BMW bila kero za ma sensor.
mti wa christmass una mataa mengi basi hata dashboard ya gari yangu ilikua inawaka hivyo ikionyesha faults kibao π π π π πHahahahaaah Mti wa Christmas !!!
ka Note tu kadogo dogo kwa mwka 2005
Hata yangu ni namba C....nimeitunza kwa kweli..[emoji4][emoji4]Nissani Note jirani yangu anaendesha hako..anakatunza balaa namba C ila kapo fresh kishenzi ukimkuta njia ya vumbi kama vile gari ina miba miguuni ananyata.
Ila nadhani kutokana na umri wake maana 40+
Inakaa fresh haizinguiniliweka engine ya carina Ti kwenye body ya vw touran lakini gari haikua kama zamani,mwisho wa siku nikauza kwa bei ya kutupa tu.
Kwa maisha ya Siku hivi ukipata kitu ni kukitunza kama yai manake kikisepa ndo imeisha hiyoHata yangu ni namba C....nimeitunza kwa kweli..[emoji4][emoji4]