Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhhh pole ilikuwa inahitaji serviceMmiliki wa zamani wa vw Touran hapa,kaa nayo hata mwaka hivi ndio uje kupost tena hapa chief. Mimi ilinipa msiba mkubwa sana japo gari ilikua kali sana ,sunroof,8 airbags nk Ila dashboard ilikua inawaka taa kama mti wa Christmas.
Mafuta inatumia litre kwa km ngapi?ka Note tu kadogo dogo kwa mwka 2005
Hahahahah mkuu bora umeongea uhalisia 🤣🤣🤣 jamaa anaongea ikiwa gari haijapigwa hata na Masika moja toka aitoe bandarini.
Hii hapa inaenda mwaka wa tatu taa inayowaka ni hio kwasababu ya bulb ya nyuma sina muda wa kubadili(nimeiacha makusudi nikiwapa lift akina Extrovert wapate cha kusema).mti wa christmass una mataa mengi basi hata dashboard ya gari yangu ilikua inawaka hivyo ikionyesha faults kibao 😀 😀 😀 😀 😀
Nakubali ww ni Mtabe wa hizo VWHii hapa inaenda mwaka wa tatu taa inayowaka ni hio kwasababu ya bulb ya nyuma sina muda wa kubadili(nimeiacha makusudi nikiwapa lift akina Extrovert wapate cha kusema).
Touran yako ni engine gani ilikuwa 1.4Tsi? DSG mbona zipo kwenye Mk5 GTi na vijana wanazikamua sana hapa mjini?
Kama alivyosema Bavaria kuna mahali ulikosea kukubali tu kuweka engine ya Toyota imeonesha wazi kuna mahali umekosea.
View attachment 1673711
Dah ungeweka 1G ingekuwa makininiliweka engine ya carina Ti kwenye body ya vw touran lakini gari haikua kama zamani,mwisho wa siku nikauza kwa bei ya kutupa tu.
Dah engine ya Carina Ti sidhani kama ina nguvu za kutosha.Hii hapa inaenda mwaka wa tatu taa inayowaka ni hio kwasababu ya bulb ya nyuma sina muda wa kubadili(nimeiacha makusudi nikiwapa lift akina Extrovert wapate cha kusema).
Touran yako ni engine gani ilikuwa 1.4Tsi? DSG mbona zipo kwenye Mk5 GTi na vijana wanazikamua sana hapa mjini?
Kama alivyosema Bavaria kuna mahali ulikosea kukubali tu kuweka engine ya Toyota imeonesha wazi kuna mahali umekosea.
View attachment 1673711
Hio unaiona ilikuja na 65,000km imepiga trip mikoani za kutosha,inatumika foleni za Dar daily si chini ya 50km,naishi kitaa kuna madimbwi ya kutosha na bado iko kama ilivyokuja.Nakubali ww ni Mtabe wa hizo VW
Haiwezekani, utaweka modifications kibao za ajabu ili engine na gearbox zikae. Haiwezi kuwa gari ile ile. Engine na gearbox za hizo gari zipo kibao hapa hapa Dar watu hawana taarifa tuDah engine ya Carina Ti sidhani kama ina nguvu za kutosha.
Itakuwa ni lack of knowledge tu na informationsHaiwezekani, utaweka modifications kibao za ajabu ili engine na gearbox zikae. Haiwezi kuwa gari ile ile. Engine na gearbox za hizo gari zipo kibao hapa hapa Dar watu hawana taarifa tu
ilikua 1.4 tsi,siku nimetoka kuichukua dar naelekea mbeya kufika kitonga tu taa ya check engine ikawaka. Msiba wangu ulianzia hapo.Hii hapa inaenda mwaka wa tatu taa inayowaka ni hio kwasababu ya bulb ya nyuma sina muda wa kubadili(nimeiacha makusudi nikiwapa lift akina Extrovert wapate cha kusema).
Touran yako ni engine gani ilikuwa 1.4Tsi? DSG mbona zipo kwenye Mk5 GTi na vijana wanazikamua sana hapa mjini?
Kama alivyosema Bavaria kuna mahali ulikosea kukubali tu kuweka engine ya Toyota imeonesha wazi kuna mahali umekosea.
View attachment 1673711
1.4Tsi sio nzuri wengi zimewazingua. Nzuri ni 2.0Fsi. Haina mambo mengi.ilikua 1.4 tsi,siku nimetoka kuichukua dar naelekea mbeya kufika kitonga tu taa ya check engine ikawaka. Msiba wangu ulianzia hapo.
[emoji23][emoji2]Mmiliki wa zamani wa vw Touran hapa,kaa nayo hata mwaka hivi ndio uje kupost tena hapa chief. Mimi ilinipa msiba mkubwa sana japo gari ilikua kali sana ,sunroof,8 airbags nk Ila dashboard ilikua inawaka taa kama mti wa Christmas.
Yah, gari ni maintanance tu, ukimudu service kwa wakati hakunaga gari mbovu. Shida yetu hela ya kuunga unga gari za mzungu zinataka hela ya chap chap na sio ndogo ndogo.Hio unaiona ilikuja na 65,000km imepiga trip mikoani za kutosha,inatumika foleni za Dar daily si chini ya 50km,naishi kitaa kuna madimbwi ya kutosha na bado iko kama ilivyokuja.
Sio kama haiharibiki, vifaa vinachoka nabadili maisha yanaendelea, kama Toyota tu sio kwamba haziharibiki ila vifaa feki vingi ndio maana watu hawaziogopi.
1G haikai hii gari ni front wheel drive engine na gearbox inakaa left to rightDah ungeweka 1G ingekuwa makini
Dah kweli mzee ila Engine bora ingekuwa 2AZ- FE ile D41G haikai hii gari ni front wheel drive engine na gearbox inakaa left to right
Tatizo ni ku-fit hio engine na gearbox.Dah kweli mzee ila Engine ilikuwa ile ya 1.8L au ile 1.5L
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Mmiliki wa zamani wa vw Touran hapa,kaa nayo hata mwaka hivi ndio uje kupost tena hapa chief. Mimi ilinipa msiba mkubwa sana japo gari ilikua kali sana ,sunroof,8 airbags nk Ila dashboard ilikua inawaka taa kama mti wa Christmas.
Da kwel nomaTatizo ni ku-fit hio engine na gearbox.
1.kuna engine na gerabox mounts lazima ziwekwe
2.drive shaft zikatwe/zibadilishwe ili zikae
3.radiator na hoses zake
4.steering rack(ya Touran ni electric)
Haiwezi kukaa sawa
Ila mafundi wetu atakwambia anaweza ngoja gari itoke utajuta.Da kwel noma