Yeah mambo mrembo wanguuu😍Babe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ninayo mimi,njoo PM
Wazikaji waliwezaje kuichimba siling'ibodi na kumzika marehemu bila kaburi kutokeza upande wa pili!Wewe unataka liwe jeneza, wakati mwenyewe kasema kaburi ahahaha
Mkuu mbona kama unataka kupinga hiviWazikaji waliwezaje kuichimba siling'ibodi na kumzika marehemu bila kaburi kutokeza upande wa pili!
Ungenijibu kwa kunieleza ni jinsi gani waliweza kuchimba kaburi kwenye siling'ibodi bila kutokeza upande wa pili.Mkuu mbona kama unataka kupinga hivi
Poa it’s been a while missing you 😍Yeah mambo mrembo wanguuu😍
Yes, nimekumiss pia tunapishana sana online darlingPoa it’s been a while missing you 😍
Hahaha marekebisho inabdi yafanyike😂😂😁1 people are here au 1 psople is here.
Mbona mods siwaelewi😀😀😀
Hahaha 🤪 kwema mpenzi?Yes, nimekumiss pia tunapishana sana online darling
Hahaha 🤪 kwema mpenzi?
Hili swali😀Mwili wa Marehemu na msalaba darini au?
Ndio maana kasema maajabuWewe unataka liwe jeneza, wakati mwenyewe kasema kaburi ahahaha
Hahahaha video call please 🥹Kwemaa ila sio kiviileee😂😂😉😉
Nipo bored kinoma my
Kumbe jeiefu ina video call 🙆🙆Hahahaha video call please 🥹