Uchaguzi 2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

Uchaguzi 2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

Acha kumtia hofu kijana. Kiukweli binafsi nilitaka Magu ashinde Urais ili akamilishe miradi ya Sgr, stiglers gorge na ikulu ya chamwino lakini siyo kwa staili ya wizi wa kura mpaka za wabunge uliofanyika. Wezi wa kura woote malipo yenu ni hapa hapa duniani hakuna hata haja ya kwenda mahakamani. Mungu wetu wa Abrahamu na Isaka atajibu maombi yetu kabla hata ya miaka 5 kuisha wote walishiriki kuiba kura watakuwa wameshaadhibiwa hata kama ni afisa elimu. Machozi yetu hasa kwenye kura za wabunge hayatamwagika bure. Rais muacheni
Mkuu unaweza kutuambia mbunge hata mmoja ambaye ameshinda lakini hakutangazwa. Hii Mahakani tutaenda, Kwa upande wangu huku Jimbo la Hai tunacopy karibu zote za matokeo lakini hazina makosa hata kidogo.

Kwa hiyo walifanya kwa kuchagua majimbo?
 
Kwa wizi huo hiyo dhambi mtaitubu wapi,au Mungu mnadhani anachukulia poa? Hata mkiungama haisameheki labda muungame kwa mliotuibia
 
Huo sio upuuzi, jaribu na jifunze kuheshimu hoja za watu wengine hata kama huwapendi, mataga na ccm mmeiba, kila kona wanasema.
Ati wanasema, wao wa nani?? Kwani siye ni mabubu mbona hatusemi??Nenda mahakamani au ICCC
 
Back
Top Bottom