Uchaguzi 2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

Uchaguzi 2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

Haina tofauti na mtu aliyeuwa raia wake wote, akabaki peke yake, sijui hiyo furaha ya moyo itaitoa wapi
 
Mzee vipi hivi huko kwa Trump kweli mambo yameendaje? Mimi kabisa niko ulimwengu wa nne
Trump anaelekea kushindwa ila bado anafight kwa kutumia sheria zinachomruhusu kufanya kwa matumaini kuwa matokeo ya baadhi ya majimbo yanaweza kubadilika yakaenda upande wake iwe ni kwa kuhesabu kura upya au kuyafuta kama kulikuwepo ukiukwaji mkubwa wa taratibu. Lakini haielekei kama ataweza kufanikiwa.
Kuhesabu kura upya (recount) siyo suala jipya Marekani maana hata 2016 Democrats waliomba recount
 
Hauta saidia kitu kwakuwa matokeo huwa hayatenguliwi
 
Rais fake, Mwenye Hati ya U-Rais fake! Rais hewa, hakustahili kuwa hapo alipo na anajua moyoni kinachoendelea nchini kuwa hapendeki, pamoja na ndege zake. alishika watu wenye vyeti feki wakati na yeye ni fake vilevile!!

Dhambi ileile ina mtafuna mara dufu, angekuwa mpole tu wagawane gawane hayo Madaraka mambo yaishe, atazuzuliwa sana na wajao! kuliko alivowashushua watangulizi wake,,, kwake yeye itakuwa maradufu ndiyo sheria ya Historia.

Wanafiki hawaishagi Duniani mwenzenu anaugulia Udikteta na utapeli alioufanya nyie mna shangilia akienda ICC, mtaufyata km alivo fanyiwa Al Bashir! hutapanua domo kumtetea km .
Analijua vizuri hilo.
Ndio maana kahakikisha kuwa bunge ni lake lote ili liondoe ukomo wa urais awe wa kudumu ili asijeshushuliwa kama alivyoshushua
 
Kituo nilichopigia kura hapa kibaha Lissu alikuwa na 278 Magu 43 matokeo yalobandikwa Lissu 8 magu 377
Aisee kumbe NI YEYE alimtandika zahataree. Naanza kuelewa ni wapi umetoka huu upole wa ghafla
 
Analijua vizuri hilo.
Ndio maana kahakikisha kuwa bunge ni lake lote ili liondoe ukomo wa urais awe wa kudumu ili asijeshushuliwa kama alivyoshushua
Akili hiyo hana, anaongozwa na jazba, hapo ndio amefanya vizuri sana atafunwe vizuri mulemule ndani ya CCM. Unabii ulisha sema carne nyingi sana ''Maadui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake'' kwa akili zake finyu anaona amekomesha, Mazuzu yana shangilia.

Itafika mahali hawatakuwa wamoja tena, sababu wa kumunyooshea kidole hakuna, watahoji kwa nini iwe Chato na si Musoma kwetu? kwa nini Dar na si Mtwara? tayari vurugu, Upinzani ukiwepo ni ngao ya Umoja wao!

Raia asie ijua hata JKT hawezi kudumu kiurais, JWWTZ. TISS, Police, Magereza, JKT,Mgambo wote sasa hivi nusu yao ni wapinzani tukifika robo tatu yake tuna muua kirahisi. Gwajima ni chadema mjue!!!
 
Kwa kura ambazo hazikupigwa, wasimamizi waliambiwa wamalizie kura kwa kuipigia ccm
 
Nenda mahakamani ww n mnafiki mkubwa ,,kama ulishuhudia na una ushahidi kwann usiende mahakamani ?sasa hapa Jamii forum ndo kuna mahakama ?
Umeona sasa
 

Attachments

  • FB_IMG_1605115119314.jpg
    FB_IMG_1605115119314.jpg
    35.3 KB · Views: 1
Nimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.

Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.

Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Sasa unatuambia ili iweje, kama uliona si sawa ungepinga huko sio kuja huku. Halafu nani atakuamini bila uthibitisho maana unaweza kuwa umetumwa tu
 
Exactly; the reflection of what is said about you! By the way, it is oral, not mouth!
Too pathetic, your mastery of this language is pedestrian. Instead of entertaining silly jokes, better learn from the gurus.
 
Kuna watu hamjui kusoma nyakati! Anguko la Magufuli kupitia uchaguzi huu liko wazi sana! Mungu amemfunua wazi kabisa uwovu wake, hila na dhuruma! Sasa unataka Afanye nini tena cha ziada?

Ujinga, woga, umaskini (fikra, Mawazo) ndo kitanzi chetu, sasa walio tuongoza ktk mapambano wanaikimbia nchi!

Na ukitaka tusubiri Mungu ashuke kwa style yako bila jitihada za Watanzania kuiponya nchi, tutajikuta level ya Zimbabwe ama mbali zaidi!

Usife moyo wala usijione umeachwa na viongozi wako wanaoongoza mapambano haya..

Kumkwepa adui yako ili asikuue ni moja ya strategy ya kivita ktk uwanja wa mapambano..

Kufanya hivi haina maana kuwa unamkimbia adui yako bali unakuwa unamlia timing tu ili kimmaliza yeye..

Ushindi upon mbele yetu, tusife móyo, tusikate tamaa...
 
Nimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.

Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.

Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Munalialia wakati mukiambiwa semeni ukweli munakimbia, pembeni munasema kamanda komaa!
 
Back
Top Bottom