radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
Na ww mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]imeandikwa mshukuru Mungu kwa kila jambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ww mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]imeandikwa mshukuru Mungu kwa kila jambo
Kwahiyo niamini chochote kwasababu nimesikia kutoka kwako? Lazima mtu uwe na akili ya kuchuja mambo si kila nilimwalo ni kweli. Nashangaa ambavyo unataka niamini ya kwako au ya mtu mwingine lakini ya kwangu hutaki kuyaamini. Mimi silazimoshi uamini ya kwangu na si lazima niamini ya kwako. Tubaki hivyoUnapaswa kujifunza kwanza kabla ya kuwa mbishi.Ushahidi upo wa aina nyingi, ikijumuisha ushaidi wa kuona na hata kusikia. Hivyo ni mawazo potofu kudhania ushahidi ni lazima uwe ni nyaraka, picha, video etc. Mtu kuelezea kile alichokiona ni ushahidi tosha.
Kwani Magufuli amepata hata kura Miloni 3, thubutu!!!!!Alishindwa Lowasa sembuse huyo shoga. Ninyi ni wa kuburuzwa tu na hamna la kufanya. Kila kitu kinabuma, laani ya Dr. Slaa inawatafuna.
Mimi sijatoa hoja yoyote ambayo nataka uiamini, nilikuwa nakujibu uliposema alete ushahidi, nikasema ushahidi unajumuisha yale mtu alioyaona na hata kuyasikia. Hivyo kumwambia alete ushahidi kuna mawili, ni hujui maana ya ushahidi au kuna aina flan ya ushahidi unaoutakaKwahiyo niamini chochote kwasababu nimesikia kutoka kwako? Lazima mtu uwe na akili ya kuchuja mambo si kila nilimwalo ni kweli. Nashangaa ambavyo unataka niamini ya kwako au ya mtu mwingine lakini ya kwangu hutaki kuyaamini. Mimi silazimoshi uamini ya kwangu na si lazima niamini ya kwako. Tubaki hivyo
Mental constipation coupled with mouth diarrhea.Kwenye social psychology kuna somo kuwa watu wanaotangulia kuwaambia wengine kwamba ni wapumbavu (kama trump alivyokuwa akiwasema marais waliotangulia) au hawajui kutumia akili zao; huwa ni watu wenye majeraha makubwa sana bongoni mwao na hutaka kila wakati wajionyeshe kuwa wako timamu hata kama hakuna haja ya kufanya hivyo. Matajiri wengi wenye majeraha ubongoni huwa ni watambaji sana hata kama kila mtu anatamabua utajiri wake. Maandiko yako ni ya aina ya watu hao; ama walitelekezwa na wazazi wao wangali wadogo, au wazazi wao walikuwa wanadharau sana wangali watoto, na mambo ya namna hiyo.
Exactly; the reflection of what is said about you! By the way, it is oral, not mouth!Mental constipation coupled with mouth diarrhea.
Demi...?Kumbe njaa zenu zimewaponza. Mngesusia hayo malipo
CDM mnashida sana badala mfufue chama chenu kinachokufa mmenga'ang'ana tu Lisu LisuNimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.
Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.
Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Ingependeza kupata ushuhuda wa aina hii toka sehemu mbalimbali nchini. Kazi ya kukusanya ushahidi kama huu ndipo CHADEMA na ACT - Wazalendo ilipowashinda kazi. Ilijulikana kungali mapema kabisa kuwa huu usingekuwa uchaguzi wa haki na huru, lakini bado hawakujiandaa kukusanya ushahidi usiopingika.Nakuunga mkono ilikuwa ni balaa kuna sehemu Magufuli alishinda ndio kwa mfano amepata kula 100 hapo inaongezwa sifuri afisa elimu msaidizi wilaya ya Kaliua unajua ulichokifanya Mungu anawaona kwa kweli
Hapa unamtisha?Unao ushahidi?
Tukikutaka utoe ushirikiano upo tayari?
YesDemi...?
Kamanda mbona unaturudisha nyuma? Huko tumeshatoka; tulianza na uchaguzi, tukaja na mandamano na sasa hivi habari ya mujini ni watu kukimbia kujificha kwenye balozi za nchi za nje. Nashangaa wewe unaturudisha kwenye upigaji wa kura!
Mkuu 'hito', nikuulize swali:Nakuunga mkono ilikuwa ni balaa kuna sehemu Magufuli alishinda ndio kwa mfano amepata kula 100 hapo inaongezwa sifuri afisa elimu msaidizi wilaya ya Kaliua unajua ulichokifanya Mungu anawaona kwa kweli
Hayo yanawezekana Marekani, na ndiyo kinachoendelea hivi sasa, Kwetu hakuna jaji wa kuthubutuNdiyo; yanaweza kuhojiwa kabla tume haijamtangaza. Siyo sheria nzuri lakini ndivyo ilivyo. Sheria inakataza kuwa akishatangazwa na tume basi hakuna mahakama inayoweza kuyatengua, ila mahakama bado ina mamlaka ya kutengua matokeo hayo kabla tuume haijayatangaza. Ndiyo maana wasimamizi wa uchaguzi huko majimboni walikuwa wanatangaza matokeo ya rais na ya wabunge, kama mtu hakukubaliana na matokeo ya uchaguzi wa Rais kama yalivyotangazwa na msimamizi wa uchaguzi, basi anaruhusiwa kuyapinga mara moja mahakamani kabla tume haijayathibitisha. na kwa kawaida kukisha nkuwa na shauri mahakani basi tume haiwezi kuoverule na kutangaza matokeo ya rais. Mwanasheria bingwa Lissu alitakiwa ajue hilo; angeweza kuweka pingamizi wa matokeo ya jimbo moja tu na hivyo kuzuia matokeo yote ya uchaguzi wa rais yasitangazwe na tume hadi shauri hilo liamuriwe na mahakama. Ulalamishi ndio mweingi kwenye jamii yetu hii.
Kama hakuna grassroots wagombea wote wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji nchi nzima walitoka wapi?Siamini kuwa kweli alikuwa msimamizi bali namuona kama conspiracist fulani anayejaribu kupose kama mtu aliyekuwa msimamizi! Hajatoa proof yoyote ya kunifanya niamini kama kweli alikuwa msimamizi hasa kwa vile anarudia yale yale ya conspiracy theories zilizoko mitaani leo. Hajui electroral politics na anadhani kuwa uchaguzi ni kupiga kelele majukwaani kuomba kura bila kuelewa kuwa huwa kuna grasroot activtities zinazoendelea baada ya mgombea kusimama jukwaani ili kumobilize wapiga kura.
Ni ndoto ya kipuuzi sana kuamini kuwa CHADEMA isiyokuwa na matawi ingeweza kuendesha grasroot electoral politics hadi wapate kura nyingi kiasi cha kushinda urais. Mnyika na Mbowe ndio walioiua CHADEMA ingawa ni vigumu kukubali ukweli huo; wana akili ndogo sana ya kudhani kuwa politics ni maandamanao na mikutano ya hadhara tu. Leo hii Biden kashinda uchaguzi bila kufanya mikutano ya hadhara ingawa Trump alikuwa anaitisha mikutano ya aina hiyo sita au saba kwa siku. Dr Slaa alipokosa urais mwaka 2010 alianza kujenga grasroots za CHADEMA ambazo zilisaidia sana CHADEMA kupata kura nyingi sana mwaka 2015 lakini leo hii hakuna kitu kilichobaki.
Mkosaji yeyote hupenda kupata faraja kwa kutafuta sababu za kukosa
Halafu hawaachi kumshukuru Mungu.
Mkuu hukuona video zinazoonesha mabegi ya kura za rais, wabunge na madiwani?? Ushahidi upi zaidi ya huo? kuzima internet ili watu wasione haya majizi pia. Naamini Mungu yupo kazini anaandaa Radi itakayo tusaidia kuondoa watesi wetu.Anaweza kusaidia kupatikana kwa ushahidi.
Ata huku Nansio ni ayo ayo
Nenda mahakamani ww n mnafiki mkubwa ,,kama ulishuhudia na una ushahidi kwann usiende mahakamani ?sasa hapa Jamii forum ndo kuna mahakama ?Nimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.
Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyotangazwa Magufuli 37O, Tundu Antipas Lissu kura 6 hii ilitoka na msimamizi msaidizi ngazi ya wilaya kutaka tutoe matokeo yake.
Hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Kuna watu hamjui kusoma nyakati! Anguko la Magufuli kupitia uchaguzi huu liko wazi sana! Mungu amemfunua wazi kabisa uwovu wake, hila na dhuruma! Sasa unataka Afanye nini tena cha ziada?
Ujinga, woga, umaskini (fikra, Mawazo) ndo kitanzi chetu, sasa walio tuongoza ktk mapambano wanaikimbia nchi!
Na ukitaka tusubiri Mungu ashuke kwa style yako bila jitihada za Watanzania kuiponya nchi, tutajikuta level ya Zimbabwe ama mbali zaidi!
Huo sio upuuzi, jaribu na jifunze kuheshimu hoja za watu wengine hata kama huwapendi, mataga na ccm mmeiba, kila kona wanasema.Uchaguzi umeisha wewe hujasikia? Leo ukitueleza upuuzi wako huu unadhani sisi ni UN? Nenda Mahakamani