Niliyoyaona nilipokua Kipofu.

Niliyoyaona nilipokua Kipofu.

Ndio ndio magu... shikilia hapo hapo.... wapo wanaopevuka ubongo .. wapo wanaopevuka macho.... na wapo wanaopofuka...

Mwisho wa siku woote tunakaa sawa
 
Namona sinta namuona necha,namuona pdiddy analilia penzi la Jennifer.
 
Taswira ndani ya mboni naona mziki wa kizazi kipya ukielekea mamtoni,wasanii kumiliki magari nyumba za kulala hatuzioni,mdosi ananiambia toka nigonge copy mia hajauza hata 10.
 
Taswira ndani ya mboni naona mziki wa kizazi kipya ukielekea mamtoni,wasanii kumiliki magari nyumba za kulala hatuzioni,mdosi ananiambia toka nigonge copy mia hajauza hata 10.
Muziki unakua kwa kasi sana
 
Mie nilijua kipof wa macho kumbe wa fikra kwa heri
 
Back
Top Bottom