Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe?Niliona Tanzania bila misaada/mikopo inawezekana
Yeah mkuuKumbe?
Hiyo ni lugha ya picha!usirudie kuwajaribu vipofu wa nyama za macho tena HEADING yako hailandani.
Kukaa sawa ndio jambo la msingi sanaNdio ndio magu... shikilia hapo hapo.... wapo wanaopevuka ubongo .. wapo wanaopevuka macho.... na wapo wanaopofuka...
Mwisho wa siku woote tunakaa sawa
sayansi haijawahi kumuacha mtu salamaNiliona Tanzania bila misaada/mikopo inawezekana
hahaha kivipi mkuusayansi haijawahi kumuacha mtu salama
We siunaona mkuu siasa imevyofunika muziki kipindi hichi.hahaha kivipi mkuu
kweli aseehWe siunaona mkuu siasa imevyofunika muziki kipindi hichi.
Muziki unakua kwa kasi sanaTaswira ndani ya mboni naona mziki wa kizazi kipya ukielekea mamtoni,wasanii kumiliki magari nyumba za kulala hatuzioni,mdosi ananiambia toka nigonge copy mia hajauza hata 10.
Umenikumbusha kitambo sana! Nature na Sinta, ilikua couple safi sanaNamona sinta namuona necha,namuona pdiddy analilia penzi la Jennifer.
Namona sinta namuona necha,namuona pdiddy analilia penzi la Jennifer.
Karibu tenaMie nilijua kipof wa macho kumbe wa fikra kwa heri