Mleta Uzi ni ke jamani,mbona anamwambia kabisa rafiki yake ni Anna?msichoelewa hapo Nini?Yani natamani kuingia kwenye Uzi nilipige mbata..Matoto ya Mama kila kitu linalia tu kama mwanamke[emoji706]..Watoto wa Mama ndio hawa wakikutana na Mitiani ya maisha kidogo tu wanajinyonga,Au kutoa ndogo...Sasa apo poti angesema amuombe TIGO dogo ili apunguziw mazoezi unafkiri huyu Mtoto wa Mama asingetoa??
Watoto wa Mama inabidi mjue Dunia ni katili sana hii lazima uwe MGUMU sio Kuonesha huruma na kulia ovyo Haisaidii.Kuna siku utaishi bila mama ndo utajua dunia ni Katili
Nakumbuka tulipewa order ya kuleta passport size photo ndani ya masaa ma 3 na Wakati huo ni saa 12 na nusu jioni. Anaefanikiwa ajira Usalama.
Upo sawa ongeza glass 🤣🤣🤣🤣nilijua nimeshawaka kumbe niko sawa
Wewe usingechangamsha damu?Very interesting story, kwa sisi ambao hatukuwahi kwenda inafurahisha kusoma.
Kuna jamaa alileta yake, eti siku hiyo akajikuta na mdada kwenye shimo au nini, wakapata nafasi ya kupunguziana, najiuliza hali hiyo mwili si umekufa ganzi kabisa.!
kwa kweli wacha nisimame nione kama nayumba au bado niko fitUpo sawa ongeza glass 🤣🤣🤣🤣
KHawezi maliza miezi mi3 halafu akaendelea kuwa na mwonekano wa kike. Hata mwendo huwa unabadilika
Nenda hadi washroom jiangalie kwenye kioo kama bado macho hayajalegeakwa kweli wacha nisimame nione kama nayumba au bado niko fit
Wanasema muhimu wakati wa kupata kazi serikalini. Ila mimi naona bla bla tu!
Pipo hawasomagi, wanashambulia kwanza😃Mleta Uzi ni ke jamani,mbona anamwambia kabisa rafiki yake ni Anna?msichoelewa hapo Nini?
Sijui, kwa hali hiyo sijaoga wiki nzima p...u zinakuwa na hali gani🤣🤣Wewe usingechangamsha damu?
Bila Sahau namba 2 Senta namba one na kabuku vip kuusu ile minyani nyie mnaopajua vizuri sema mwanangu bangolosi hatakagi smartphone832kj ni Ruvu Mzee Baba, Mgambo JKT no 835kj vijiji viambatanavyo na kikosi ni Gendagenda, Komsanga, kwa bojo, diwawala[emoji1]
😀😀😀😀ninachomis jeshini ni chenja tu🙌🏻Kuna mtoto wa mkuu aliletwa late, yaani bora angekaa hom tu,yule ni nanga pro max.
Mimi nili enjoy sana coz ilkuwa moja ya ndoto zangu.
Weeee acha uongo🤣🤣🤣hapo utaona umepata pa kupunguzia stressSijui, kwa hali hiyo sijaoga wiki nzima p...u zinakuwa na hali gani🤣🤣
Picha zilipelekwa mkuu. Tuli set mambo fasta kwa gharama yoyote.Duhh mkuu ulifanyaje apo
ule umbali wa komsanga aah🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻832kj ni Ruvu Mzee Baba, Mgambo JKT no 835kj vijiji viambatanavyo na kikosi ni Gendagenda, Komsanga, kwa bojo, diwawala😄
Mwenyewe namshangaa sioni cha kuumiza hapa, au hata hii kozi yake angeipatia kanembwa story ingekuwa tofauti.Sasa dogo hiyo ni kozi ya mujibu tena mnafundishwa uzalendo tu kwa miezi yenu mitatu then mnarudi kitaa huku mkirashia rashia MK, UP, Shabaha na Pori then Gwaride wengi mkiangukia vitengo vya ngoma coy, KO na Singe wengine Gwaride na kuondoka zenu. Sasa ungeenda kozi ya kujitolea au RTS ungesemaje?😄😄
Hahaha, ila aisee mazingira ya hivyo noma sana!! Unakomazwa kila kitu kuanzia mwili hadi fikra. Safi👊Weeee acha uongo🤣🤣🤣hapo utaona umepata pa kupunguzia stress
umemiss chenja ama umemiss kuimba matu.si 😂😂😂😀😀😀😀ninachomis jeshini ni chenja tu🙌🏻