mkulu senkondo
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,862
- 3,574
Kijana unavujisha siri za jeshi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀😀😀😀😀nilikua naosha sahani😂😂 mahiii au wewe ulikuwa unapaka blue band?
Nikutumie na BM basi si bora ukavitafute! 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬🏃🏾♂️🏃🏾♂️🏃🏾♂️Nitumie na BM 🤣
Vile vitshirt ni vizuri aisee
😀😀😀😀😀matu si alafu yananogaje full moraleumemiss chenja ama umemiss kuimba matu.si 😂😂😂
Hakuaga na noma sana kwa wanaume, ila mabinti alikua hapatani nao kabisa.Haha napokea..
Huyo Afande sijui kama ntakuja kumsahau [emoji1787][emoji1787]
Aliniotea otea mara kadhaa akanisulubu.
Hilo neno mteru nimekumbuka mbali kuna wadau walikuwa ni vipande vya mwanakwetu ila sasa mteru kama wote,wakishikiliwa kidogo tu utawahurumia..Ukirudi salama ni experience nzuri.
Mteru mteru kama raia unakuwa unakupungua
Njoo nikuoeMimi mdada.
Mzee mwanamke huyu sio mwanaume 😅😅Form six gani Hiace anaita Hiance? Halafu wewe huu uandishi wako ushaharibiwa. Hakuna kitu umebaki nacho. Ndo maana mzee wako alitaka uende jeshini ukakaze misuli ya matako. Umeshalegea sana. Mwanaume hawezi omba saidiwa na mwanamke na hawezi lia eti anamwita mama yake. Wewe ni takataka. Ondoka hapa na uzi wako.
Yule baba alikuwa mtata😂 kwanza kuna siku alinambia kanawe uso urudi unatiririka maji.Hakuaga na noma sana kwa wanaume, ila mabinti alikua hapatani nao kabisa.
Kuna service-men niliwahi kuzinguana nao pale, alafu mwaka mmoja baadae nikakutana na mmoja wao kambini JKT. Mimi kuruti, yeye bakabaka, niliishi kama kibaka!
Sasa "sidiria sidiria" zinahusu nini tena kijana?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Anna umekuja msaidia.... Haya nawe ukae kwa utulivu usiruke ruke na kuniumiza.Acha basi kutafuta sifa na umaarufu kwenye uzi wa mwenzio. Kuwa gentleman basi bro.
Amekuja kusema kuwa ni she. Jina lake nlidhani ni HeKwani huyu mtoa mada ni dume? Mbona mi nahisi ni demu... Haiwezekani mwanaume asaidiwe kubeba mzigo wake na Anna.
😳😳🤣🤣 Hilo jina nlijua ni la kiume. Nikajua ndo yale mataka taka ninayoyapiga vita kila sehemu. Nimeshamwambia pole yake. Na tumepeana namba za simu siku nyingine akienda tena jkt wasimtese niende naye.Mzee mwanamke huyu sio mwanaume 😅😅