Niliyoyashuhudia Jeshini

Kuna mtoto wa mkuu aliletwa late, yaani bora angekaa hom tu,yule ni nanga pro max.

Mimi nili enjoy sana coz ilkuwa moja ya ndoto zangu.
πŸ˜‚πŸ˜‚ alikuwa mzito nini? Au tu uvivu.. kuna ule mwendo wa kurusha miguu usawa wa kifua sjui vile’ ulinisumbua pia, nikawa nanga, ila sio nanga pro max.
 
Kwa jinsi nilivyosoma uzi wake mpaka hapa unacomment huyu sio mwanaume ni mwanamke! Soma vizuri mkuu, hadi anasema Kuna mwanajeshi wa kike aliyemuonea huruma wanafanana majina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…