Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 alikuwa mzito nini? Au tu uvivu.. kuna ule mwendo wa kurusha miguu usawa wa kifua sjui vile’ ulinisumbua pia, nikawa nanga, ila sio nanga pro max.Kuna mtoto wa mkuu aliletwa late, yaani bora angekaa hom tu,yule ni nanga pro max.
Mimi nili enjoy sana coz ilkuwa moja ya ndoto zangu.
🤣🤣🤣🤣🤣Hapo kwanza nchekeHivi huwaga unasoma comment zako kabla hujatuma 😀😀😀
Haha napokea..Binti wa afande Kumaliga weye.
Nakusalim!
Mzito sana na hasa anajua baba ni mkuu flan. Alikuwa anazidiwa na wadada mpaka unamuonea huruma. Toto la mama flan hivi😂😂 alikuwa mzito nini? Au tu uvivu.. kuna ule mwendo wa kurusha miguu usawa wa kifua sjui vile’ ulinisumbua pia, nikawa nanga, ila sio nanga pro max.
Nikipigwa uje kunitetea shogaangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hapo kwanza ncheke
Nitafute nikupe T shirtKuna mmoja nilimtania naomba t shirt. Zile t shirt zao. Akanambia hizi hutupiwi mnadani, nenda kaitafute 😆
Unachokitafuta utakipata!unamjuaNikipigwa uje kunitetea shogaangu 🤣🤣
😂😂 mahiii au wewe ulikuwa unapaka blue band?abeee
Hiyo ni Maramba Tanga.Wewe sasa ndo umepatia!👏 mojawapo hapo mkuu...
Aje atype hapa tucheke 🤣🤣🤣🤣Unachokitafuta utakipata!unamjua
Nitumie na BM 🤣Nitafute nikupe T shirt
Ila na wewe si utulie usome vizuri,,,hapo ameandika wimbo "jua lile literemke mama,aiya iya iya mama"ndio nilichogundua nilivyorudia mara tatu kusoma😅😅😅🤣🤣🤣 we Soma hata nyuzi zake sijui anatype huku anatembea 🤣🤣🤣
Itakuwa Kigoma au DodomaNon of the above
Marine special......👍🏾Sasa usiombe utoke 92 alafu ukaangukia MSU pale NC Kigamboni.
🤣🤣🤣 niache me nirudie kusoma Mara tatu na sijaelewa 🤣🤣🤣Ila na wewe si utulie usome vizuri,,,hapo ameandika wimbo "jua lile literemke mama,aiya iya iya mama"ndio nilichogundua nilivyorudia mara tatu kusoma😅😅😅
Kwa jinsi nilivyosoma uzi wake mpaka hapa unacomment huyu sio mwanaume ni mwanamke! Soma vizuri mkuu, hadi anasema Kuna mwanajeshi wa kike aliyemuonea huruma wanafanana majina.Form six gani Hiace anaita Hiance? Halafu wewe huu uandishi wako ushaharibiwa. Hakuna kitu umebaki nacho. Ndo maana mzee wako alitaka uende jeshini ukakaze misuli ya matako. Umeshalegea sana. Mwanaume hawezi omba saidiwa na mwanamke na hawezi lia eti anamwita mama yake. Wewe ni takataka. Ondoka hapa na uzi wako.
😃😃😃Ila na wewe si utulie usome vizuri,,,hapo ameandika wimbo "jua lile literemke mama,aiya iya iya mama"ndio nilichogundua nilivyorudia mara tatu kusoma😅😅😅