Niliyoyashuhudia Jeshini

Hivi kupita jeshi kuna umuhimu gani haswa?
Hapo Sasa🤣🤣nakumbuka,wakati tumemaliza chuo,mwaka ulofuata JK akamwaga ajira,wakati tuko kwenye ajira miezi 3,wakatangaza kurejesha hayo mambo,afisa utumishi,akatuambia tujiandikishe tuende,eti itakuja kutuathiri wakati wa kustaafu kwenye mafao🤣🤣Mie nikamwambia mkuu,mie kwa Sasa akili yangu iko kwenye ajira,subiri ikipita intake hii nitajitolea kwenda ijayo🤣🤣till date 10 years sijawahi hata kuwa na wazo.
 
Lelemama wewe
 
Katika kazi ambazo nilikua napenda niwe wkt nakua ilikua kua mjeda niliipenda sn hii kazi not sure why but sikufanikisha ndoto zangu nimebakia kupenda movie zake tu but I like everything they do kwakweli ni moja ya vitengo vzr sn duniani
 
dump
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…