Tanga moja HIO ushatajiwa michungwa na machungwa wewe jua hio ni Tanga na ndio sehemu mseleleko wanapokimbilia wengiMafinga hatuna barabara mbovu [emoji16]
wajina wake bwana cheupe dawa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]At first sikujua. Nilijua baadae kadri alivyokuwa anaendelea na simulizi yake. Alikuwa na haki ya kulia, naona kuna Papaa Tango Eagle akaanza kujisogeza kwake taratibu na kumrahisishia baadhi ya fatiki ephen_ [emoji1787][emoji1787]
Kwa masaa aliyotaja obviously ni mafinga/ domNi Mafinga au Dom?
Tanga moja HIO wewe shtukaKwa masaa aliyotaja obviously ni mafinga/ dom
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kiukwel ningeingia mtaani na ulaji ule aiseee 😂hiii migahawa ya tabata ningekula misos yote! Nlivomaliza course home nkitengewa msos yaan ile nimemaliza kula ndo nakua ktk ile point nakua sasa ndo nahitaji Nile
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hata konde gang nalo ni jeshi!
Tofauti ni Nini?watu wengi awawezi kutofautisha kati ya wanajeshi walio chini ya JKT na JWTZ🤣🤣🤣
Efeni efeni mama nijibu basi,efeni umeolewa......😇Wewe ndo umenikumbusha viroba!!
Majina ya vitu vingi nimesahau siunajua kule wana lugha yao
Kwetu pia mahindi yalikuepo tunapukuchua.
Angalau Ulipata pa kuenjoy kidogo.SEHEMU YA 12
4. KARATE
Niliulizia kwa kuruti wenzangu waliopo karate ni yupi mkuu wa kitengo? Wakanionyesha alikua afande mpemba mfupi hivi nikamsoma nikaona sio mkali.
Kwanini nilitaka kumuona kabla?
Sababu nilijua karate ndo option yangu iliyobaki vitengo vingine sijafit hivyo sitakiwi kuleta mchezo
Kwa kusoma attitude ya mwalimu nipate mwanga kama huko nitaweza pia au lah!.
Siku ikawadia nikaenda kitengo cha karate baada ya kutoka mabio alfajiri.
"Aya jipangeni tuanze kazi" afande mpemba akasema
Kuruta wakajipanga na mimi nikaunga.
"Mbona naona sura mpya?"
Mimi afande nimekuja kujiunga na karate
"Sawa hamna tatizo hapa sifa wepesi na ustahimilivu kuruti! Fungua moyo jipe morale Wazii kuruti"
Waziii afande
Alivyonipokea niliridhika nikaona hapa nitadumu nikajikuta nimeipenda tu karate kabla hata ya kuona mziki wake.
Yule afande alikua mtulivu mstaarabu anafundisha kwa upendo hata ukikosea hakupi madoso wala mabanzi.
Style zikaanza pale afande anatupa mafunzo kwa upendo nilijikuta nimeweza zile style za siku ya kwanza japo changamoto kubwa ilikua kwenye balance lakini niliweza.
Siku zikaenda nikawa style zote nazishika naenjoy kua kitengo cha karate.
Sikua nanga wala bora nilikua katikati tu. Nakumbuka styles nyingi kama Kibadanch, zekidanch stans, Heiki danch, kosa dach na musubu danch.
Nikiulizwa nipo kitengo gani, najibu kwa kujiamini na smile lote "Mimi nipo karate"
Kitengo cha karate kilikua na serengeti wachache (serengeti - wasichana) hivyo ikijulikana wewe serengeti ni karate ilikua pride flani nzuri sana.
Hadi namaliza mafunzo mimi ni karatee!!
Itaendelea......
Kumbe jamaa alishakuwaga DC?Mbuge aliondoka kipindi cha kati ya op magufuli na op mererani akaenda kusimamia ujenzi wa ukuta wa mererani kisha akaenda Dodoma akisimamia ujenzi mpaka alipopelekwa kwenye madaraka ya ukuu wa wilaya
Hii story imeshaisha,we mjeda nenda tu ukale bia wkendHii story yako unairefusha sana serengeti, au unataka tuhamie telegram mkuu ephen_
🤣🤣🤣 KaribuHii story imeshaisha,we mjeda nenda tu ukale bia wkend
Vituko huwa ni vingi sana kule.TItle inasema "niliyoyashuhudia jeshini" hivyo lazima niwaambie kila nilichokiona nikakipitia😄
Mimi mwenyewe nimechoka kuandika hapa natype episode moja ndefuu niwape tumalizane.
imeisha hiyooo....Itaendelea......
Hukupiga hata moja ukaua mijusi tuu😅😅Duuh asee hakuna kitengo ninachokipenda na ninachokiona rahisi jeshini kama kwata huwa sielewi kwanini watu wanakichukia na kukiona kigumu
Yani mimi kwangu kwata ndio ilikuwa sehemu ya kupoozea machungu ya jeshi, maana mimi sipendi mabio wala mazoezi nakumbuka mwishoni mwa six weeks za kwanza, nilikosa kuwepo kwenye pass of square tu roho iliniuma sana
Nikasema kwenye graduu lazima niingie kitengo cha kwata, na kweli graduu nilikuwa kwata coy sema kimbembe kuweka silaha begani, hadi mfupa wa bega ukaanza kuuma nikawa naweka handkerchief
Yani mimi kiujumla jeshini vitu nilivyovipenda ni chenja, kwata, range (japo niliishia kulenga mijusi), syndicate na route march (kutembea tu), ila ukishaniambia nikimbie daah nilikuwa najionea tabu tu
Na yale maovyoovyo mengine nilikuwa siyapendi kabisa