X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Umetisha mdogo wangu
nadhani police awakusumbui kabisa...![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nililazimishwaa, eti nikitoka huko nitakua mkakamavu,
Sanaa nashukuru nimepata faida ya ujasiri, kujiamini, msimamo thabiti etc.
That place is w little hell aisee. Ila hawa warundi na warwanda they have hidden somethings mule ndani. Tukiwa pale some people were killed around where americans built the villages to house them.KANEMBWA HIYO KAMBI YA WAKIMBIZI NILIKUA HAPO 1996 NIKIWA NA AJIRA UNHCR!!!
SIKU HZI NI KAMBI YA JESHI
Yah kwa neema sa Bwana hakuna aliyekufa kwenye kozi yetu. We went and came back alive.Was insane!
Muhimu tunaenda tunatoka salama.
Toa B weka M, ndo nilipiga advance.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nahisi utazimia kabisaa.
Mbona sisi ilikua poa tu.....tumepokea warundi pale kanembwa 996.....ulikua umezaliwa mdogo wangu??That place is w little hell aisee. Ila hawa warundi na warwanda they have hidden somethings mule ndani. Tukiwa pale some people were killed around where americans built the villages to house them.
I was around 3 years old. Watakua walizika silaha. Maana hakuna kijiji around radius ya 20km lakini wanakijiji wanakuja kambini. Wanakuja kutafuta nini?Mbona sisi ilikua poa tu.....tumepokea warundi pale kanembwa 996.....ulikua umezaliwa mdogo wangu??
🤔🤔🤔🚶♂️Ole wako service man umkatae utapata adhabu kama zote
Uzi mzuri sanaSehemu ya 13 ndo mwisho.
Inaweza ikawaHiyo ni maramba tanga
Kubali kataa hiyo maramba kuna jua MOJA la hatari
Op miaka 50 ya jkt hatari sAna hiyo nilikua Songea mlale its almost 10 years now time flies Mwaka jana walikua na op miaka 60 ya jktNataka kucheka ila nashindwa. Nakumbuka nilipoga around wiki tatu bila kulala. Kanembwa 2013 July na August. Sipasahau kamwe. Mwanzoni niligoma kufungua moyo ila ilifika sehemu sina namna niliufungua tu. Pamoja na yote kuna siku nilibreak down. Yani unafika siku unaichoma dunia kabisa maana umechoka halafu afande anakukejeli aisee. That nigh i sat there and looked at heaven asking God kwani kwetu hakuna vitanda. I think a 4 to 5 weeks had passed without proper slip. Hasira, uchovu na baridi. Halafu mtu anakwambia kwenu hakuna kitanda ndo maana mmeletwa huku. In the middle of the night, all had been exhausting. I finally got tired but nilimaliza. Am glad i went, i learned a lot of things. But it was hell.
Ungezipanga mtu ukija unaanzia ulipoishia sasa kuzitafuta episode uwiiiKivipi mkuu
Umeona ID yake? Kwahiyo inafanana na alichoandikaMbona kasema yeye ni mwanamke? Huu ujinga unamuandikia nani?
Duu [emoji32][emoji32]HII imenikumbusha siku niliyoripoti JKT mimi nilinyoa kipara Sasa wakati nafika kwenye gari la kuelekea kambini nilikutana na wadada wawili wao walikuwa hawajanyoa, Ile tunafika nikaulizwa Hawa unawafahamu nikajibu ndiyo, wakaniambia kwahiyo wewe umewadanganya wasinyoe alafu ukanyoa peke yako, aisee palepale getini nilianza kuroll na kurukishwa vichura, nikamwagiwa maji, Kisha nikaambiwa niwapake poda usoni yaani vumbi, alafu niwanyoe yaani palepale hamu yote ya JESHI iliisha
Bado kupona?WAla si mkorofi sipendi watu wakughasi. Nmegundua we ni binti nipo hapa kukulinda. Nione mtu anakutingisha. Kwa kweli nitamchapa nao sana. Sasa uwe na amani nipo hapa kukulinda. Hakuna wa kukubebesha tranka tena. Na usimsumbue mama. Sawa eeeh?
Chizi Maarifa ! Episode ya 6 iwapi , wewe si ndiye mlinzi wakeMi nawalinda mabinti. Sipatani tu ila mitakataka inayotaka iwe kama mabinti. Ndo maana nikiona hata mtu anaonesha dalili namwahi kabla hajaharibikiwa sana. Ila kwa watoto wazuri kama nyie ole wake mtu awaguse nitamfanya kitu kibaya. Huyu mwandishi nilidhani ndo wale wanaume mchekea. Nlifura kwa hasira sana kuwa yamefikia hatua yanajiweka tu hadharani. Kumbe siyo maskini.
1) Wewe service man alikujaribu kama ndio ilikuwaje?.Ole wako service man umkatae utapata adhabu kama zote.
Mzazi usiogope mtoto kwenda kwa mujibu, faida ni nyingi kuliko hasara