Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Shukrani kwa kunikumbushaIO ndo kifupi chake....
Tuko pamoja...."askari eeh vitaniii iyoo mama👾"Shukrani kwa kunikumbusha
Hahaha! Hutaki kurudi na story zingine hapa ? Kwa uandishi huu naelewa lazima uko sehemu fulani yenye maokoto mazuri hivyo uende huko kutafuta nini tena ?Yes! Tumejifunza mengi ambayo ni vigumu mtaani kutufundisha.
Pamoja na yote jeshi siwezi kurudi tena Abadani Hasirani😂
Niliwasiliana nae nilivyotoka courseHahaha! Hutaki kurudi na story zingine hapa ? Kwa uandishi huu naelewa lazima uko sehemu fulani yenye maokoto mazuri hivyo uende huko kutafuta nini tena ?
Ulipata kuwasiliana na namsake wako baada ya kumaliza course ?
Anakwenda Sargent, Koplo Platun kamanda vitan hiyo mama😄😄me siendi cheo changu hakipo hapo😅😅Tuko pamoja...."askari eeh vitaniii iyoo mama👾"
Ukweli lazima usemweAiseee! Tusifike huku mkuu[emoji23]
Humu watu hatujuani lakini ni vyema kunusa harufu unajadiliana na naniUkweli lazima usemwe
Mtu kapita ruvu tena miezi mitatu lakini anambishia senior kabisa wa jeshi
Bora na wewe ulipita malamba kwa wagumu kidogo
Ndio umwambie huyo mtoto princess nani sijui aache ubishi wa kishambaHumu watu hatujuani lakini ni vyema kunusa harufu unajadiliana na nani
Wenye taarifa sahihi huwa hawapendi majibizano yasio na maana tena akijua ninayejadiliana nae ni Mbishi na hakuna anachokijua.
SAMAHANI WADAU MBONA NAONA KAMA WENGI HUMU NI KAMA MMEZALIWA KUANZIA 1993???
SISI TULIOZALIWA 1970,S TUNA STORY ZETU TOFAUTI KABISA KUHUSU JESHI
Mkuu naomba ruhusa yako inboxKama alikubishia wewe potezea! Muhimu taarifa zako unaziamini.
Haina hajaIssue yoyote kuhusu hii story nipo hapa kukusikiliza.
Huyo jamaa yeye huwa anatubless na like hana nenoraraa reree unajuaje mtu amecomment sehemu flani? Sababu upo kama roboti
Ego iko kazini muache. Yeye si akapita USA navy seal army.Aiseee! Tusifike huku mkuu😂