Niliyoyashuhudia Jeshini

Niliyoyashuhudia Jeshini

Mzeee wangu Moja siku nilikuwa na piga nae story anasema siku hizi ma brigedia wamekuwa wengi sana njia ya mwenge una weza pishana na gari Tano au Saba zote za ma brigedia .....anasema Enzi zao wako kazini wapya , jamaaa amekaaa kazini miaka 2 ajawahi kuonana na brigedia siku amekuja Kumuona alipagawa jinsi kachafuka vyeo Kwa wenge,alipiga saluti mikono yote miwili

Hata mikoani huko bado kuna hali hizi,vyeo hivi vingi viko mjini hapa,kama wabunge kukimbia majimbo yao na kuishi dsm.

Nimekulia kota kumuona mkuu wa kikosi ilikuwa kwa siku maalum,halafu ni Lt colonel tu.
 
Yani natamani kuingia kwenye Uzi nilipige mbata..Matoto ya Mama kila kitu linalia tu kama mwanamke[emoji706]..Watoto wa Mama ndio hawa wakikutana na Mitiani ya maisha kidogo tu wanajinyonga,Au kutoa ndogo...Sasa apo poti angesema amuombe TIGO dogo ili apunguziw mazoezi unafkiri huyu Mtoto wa Mama asingetoa??
Watoto wa Mama inabidi mjue Dunia ni katili sana hii lazima uwe MGUMU sio Kuonesha huruma na kulia ovyo Haisaidii.Kuna siku utaishi bila mama ndo utajua dunia ni Katili
Mama mtu mzima kana wewe KENGE 01 unasomaje uzi unashindwa kuelewa kuwa mtoa mada ni KE? Usiwe unatumia hasira sana zinazidi kukuzeesha.
 
Anakwenda Sargent, Koplo Platun kamanda vitan hiyo mama😄😄me siendi cheo changu hakipo hapo😅😅
"Anavaa....Anavaa kombatiiiii
Butiiiii.......kofia ya chuma vitaniiii
Iyooo mamaa

"Anabeba......anabeba bundukii
Beginning....kibuyuu cha majii
Vitaniiii....iyoo mama"

Kokorikooo kokorikoo kajogoro kalia
Koko eeh aiya iyaa kokoo eeh aiya iyq

"Tutawakumbukaaa makamanda wotee
Waliokufa kwenye mapambanooo
 
"Anavaa....Anavaa kombatiiiii
Butiiiii.......kofia ya chuma vitaniiii
Iyooo mamaa

"Anabeba......anabeba bundukii
Beginning....kibuyuu cha majii
Vitaniiii....iyoo mama"

Kokorikooo kokorikoo kajogoro kalia
Koko eeh aiya iyaa kokoo eeh aiya iyq

"Tutawakumbukaaa makamanda wotee
Waliokufa kwenye mapambanooo
Jeshi kwa chenja wapo vizuri!
 
Hahahah! Wewe kweli mtoto wa mama. Eti nampigia mama anifuate! Hivi wewe ni ke au? Na ulitaka huyo anna ambaye bila shaka ni ke akusaidie?

Personally, I enjoy the pain.
Mimi ni Ke, sikumuomba anisaidie alitaka mwenyewe
Ananipenda ndo maana akawa tayari kuchukua tranka langu anisaidie.

Sifurahii maumivu ila yakija naishi nayo!
 
Back
Top Bottom