Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeolewa lakini. Mana huwa napenda niwe na mke aliyepitia jeshini. Sema kitinda mimba unadekaje ,ukifinywa tu unampigia simu mama simu kuwa huyu mme hanifai.Mnajuana nyie
Hukasirikikasiriki ovyo ivyo kweli Mana lengo la jeshi Ni kumtoa hasira sio kidogo tu umejaa upepo. Kwa hapa nyumbani upo mkoa GaniJeshi limenikomaza kiasi.
Dm me pleaseHasira ninazo
Mkoa niliopo siwezi kusema.
Mengine ya moyoniMaswali yote kuhusu hii simulizi nayajibu hapa.
Mzeee wangu Moja siku nilikuwa na piga nae story anasema siku hizi ma brigedia wamekuwa wengi sana njia ya mwenge una weza pishana na gari Tano au Saba zote za ma brigedia .....anasema Enzi zao wako kazini wapya , jamaaa amekaaa kazini miaka 2 ajawahi kuonana na brigedia siku amekuja Kumuona alipagawa jinsi kachafuka vyeo Kwa wenge,alipiga saluti mikono yote miwili
Mama mtu mzima kana wewe KENGE 01 unasomaje uzi unashindwa kuelewa kuwa mtoa mada ni KE? Usiwe unatumia hasira sana zinazidi kukuzeesha.Yani natamani kuingia kwenye Uzi nilipige mbata..Matoto ya Mama kila kitu linalia tu kama mwanamke[emoji706]..Watoto wa Mama ndio hawa wakikutana na Mitiani ya maisha kidogo tu wanajinyonga,Au kutoa ndogo...Sasa apo poti angesema amuombe TIGO dogo ili apunguziw mazoezi unafkiri huyu Mtoto wa Mama asingetoa??
Watoto wa Mama inabidi mjue Dunia ni katili sana hii lazima uwe MGUMU sio Kuonesha huruma na kulia ovyo Haisaidii.Kuna siku utaishi bila mama ndo utajua dunia ni Katili
Wajeda zaman walikuwa std 7Nakumbuka enzi hizo Kuna mjeda mmoja alipochukua list ya kuita majina ya makruta alianza na sehemu ya juu iliyoandikwa FULL NAME,
Basi akasoma FURU NAMEE.... (kimya), FURU NAMEE.....(kimya).........
"Anavaa....Anavaa kombatiiiiiAnakwenda Sargent, Koplo Platun kamanda vitan hiyo mama😄😄me siendi cheo changu hakipo hapo😅😅
Jeshi kwa chenja wapo vizuri!"Anavaa....Anavaa kombatiiiii
Butiiiii.......kofia ya chuma vitaniiii
Iyooo mamaa
"Anabeba......anabeba bundukii
Beginning....kibuyuu cha majii
Vitaniiii....iyoo mama"
Kokorikooo kokorikoo kajogoro kalia
Koko eeh aiya iyaa kokoo eeh aiya iyq
"Tutawakumbukaaa makamanda wotee
Waliokufa kwenye mapambanooo
😅😅ndo fatiki niliyokuwa naipenda kuliko zote.....nilikuwa Machenja piaJeshi kwa chenja wapo vizuri!
Mimi ni Ke, sikumuomba anisaidie alitaka mwenyeweHahahah! Wewe kweli mtoto wa mama. Eti nampigia mama anifuate! Hivi wewe ni ke au? Na ulitaka huyo anna ambaye bila shaka ni ke akusaidie?
Personally, I enjoy the pain.